Видео
Создатели
МУЗЫКА И СЛОВА
Frank Ngumbuchi Felix
Автор песен
Слова
Sema ndo vile tu
Sina pesa ya kutosha
Ila bata letu
Tungekuwaga twalila bila pressure
Raha ni raha tu
Jama ugomvi unachosha
Na ukijua sina
Napenda si wakununa
Hata fuko ikituna
Si mtu mwenye tamaa
Si unakumbuka vizuri
Jinsi ulivyonikondeshaga
Tukaanza tena sifuri
Kisa maneno neno ya danganya
Totoo
Likizama
Likiwaka
Likipoa
Ntakuwa na wewe
Ikinyesha
Ikiacha ohh baby
Ntakuwa na wewe tu
Nakuotaga njozi baby
Na niko macho
Mchana kweupe
Ndo mana utakacho
Nitasaka nikupe
Aina ya upendo
Nikupendao mimi sidhani
Kama yupo akupende
Nikupendavyo mimi
Mana ninavyokupenda wewe
Ohh baby ohhh
Acha nikung'ang'anie
Ninavyopendana nawe
Ohh baby ohh
Acha tu watununie
Si unakumbuka vizuri
Jinsi ulivyonikondeshaga
Tukaanza tena sifuri
Kisa maneno neno ya danganya
Totoo
Likizama
Likiwaka
Likipoa
Ntakuwa na wewe
Ikinyesha
Ikiacha ohh baby
Ntakuwa na wewe tu
Mama tucheze likachunje
Waumie mama
Mama tucheze na lizombe
Waumie sana
Baby tucheze likachunje
Waumie vibaya
Mama tucheze na lizombe
Ohh ohh
Writer(s): Frank Felix
Lyrics powered by www.musixmatch.com