Lyrics

Aye It's Bonga Kiangazi masika ukiichanganya Vyote vikashuka kwangu vitanielemea Ntakosa pa kushika ntavavanya Wewe ndo mwandani wangu nliokuzoea Ntunza vyangu visiri mwenye kunisitiri Fundi mitambo Kinga yangu ya mwili usiyelipa bili Kuchoma changu Simtaki kafiri jangiri mwingi wa mambo Moyo akaukatilli Nikondeshe mwili Ajifanye Rambo Si unajua Dalili ya mvua mawingu Ikitaka kunyesha Huwa yanatanda Nami si unajua aah Nimeumbwa na wivu Kidogo tu pressure Yanshuka yapanda Niahidi kama Utatulia ah Baby Niahidi kama (utatulia ah) Hmm Nisibaki nkashika tama Utatulia ah Baby Niahidi kama (utatulia aah) Hmm Wasiniibie cha ngama Maneno yangu si Biblia wala Masaafu Useme usibadili (hmm) Jichunge kipenzi changu Unanisikia usicheze rafu Yatimie waliotabiri Usijifanye Ronaldinho Penzi utie mbwembwe Utahaaribu Visokolokwinyo Wakupitie denge kukujaribu Kina Capuchino wakakutia wenge kwa vizabibu Wakugongeshe mvinyo Ukaota mapembe iwe aibu Si unajua Dalili ya mvua mawingu Ikitaka kunyesha Huwa yanatanda Nami si unanjua aah Nimeumbwa na wivu Kidogo tu pressure Yanishuka yapanda Niahidi kama Utatulia ah Baby Niahidi kama (utatulia ah) Hmm Nisibaki nkashika tama Utatulia ah Baby Niahidi kama (utatulia ah) Hmm Wasiniibie cha ngama Eeeh eh Yani kama ukitulia tulia SItathubutu macho kupepesa Ukitulia tulia Ukinipa kiduchu nitatosheka Kama ukitulia tulia Sitofwata nguruchu niende teseka Ukitulia tulia Eh eh Nami ntatulia Oh my God is Better Sound
Writer(s): Lava Lava Lyrics powered by www.musixmatch.com
instagramSharePathic_arrow_out