Lyrics

Tuko na mu angaliya lwa mbali Ile ma musique yaké ayita mupelekaka fachi(non non) Kama ilichuchi tutaka kombanicha Na ile ma millions ya ma vus yaké ya bwivi Bengine asema ni malawa Asema ni rêveur Batu aba mudjuwi Petit ana niveau Bengine asema ni malawa Asema ni rêveur Batu aba mudjuwi Petit ana niveau Buna sahabu Ke ni mungu djo analetaka Buna sahabu Secret mayicha ni kutumika Muna sahabu Bile biote mulisemaka Ke niko na lota lota Miye sita evoluaka Buna sahabu Ke ni mungu djo analetaka Buna sahabu Secret ya mayicha ni kutumika Muna sahabu Bile biote mulisemaka Ke niko na lota lota Miye sita evoluaka Tumika kazi yako na roho moya Bashi kulande Kazi yo te ina lipaka Usi chikiye bia bantu angaliya mola Djuwa ya leyo ya kecho umwatchiye mungu Bali sema awuta olewaka Kazi awusta pataka Utabaki ku angayika Utabaki masikini Bali sema awutaka olewaka Kazi awusta pataka Utakuwa ka lomba lomba Lewo tuko wapi? Buna sahabu Ke ni mungu djo analetaka Buna sahabu Secret ya mayicha ni kutumika Muna sahabu Bile biote mulisemaka Ke niko na lota lota Miye sita evoluaka Buna sahabu Ke ni mungu djo analetaka Buna sahabu Secret ya mayicha ni kutumika Muna sahabu Bile biote mulisemaka Ke niko na lota lota Miye sita evoluaka Ni miye ule ule Balisemaka niko bule Nita bakiyaka paka vile chi bobale paka pale Ni miye ule ule Balisemaka niko bule Nita bakiyaka paka vile chi bobale paka pale Non non non non non non...
Writer(s): Pathy Pson Muota Palila, Mbuya Ntumba Alain Lyrics powered by www.musixmatch.com
instagramSharePathic_arrow_out