Lyrics

Eti nimemlambisha ananambia chombezaa (chombeza) Tena nikiizidisha ananambia kolezaa (koleza) Nikitaka kusitisha ananambia ongezaa (ongeza) Japo imethibitishwa ila itampoteeza a Ikipanda ni bala (naogopa) Ikishuka ndo hatari (naogopa) Asije pata madhalaa (naogopa) Akaikosa na hali (naogopa) Ladha yake msalaa (naogopa) Shira ya kizanzibar (naogopa) Nami simpii mi wala Akitaka nampa Ai su kaari (nampatia) A Sugar sukari (nampatia) Su kaari (nampatia) A Sugar sukari (nampatia) Su kaari (nampatia) Sugar sukari (nampatia) Su kaari (nampatia) A Sugar sukari (nampatia) Na akilia njaa Juu njaa sifanyi ajisi Namjazia jaa Juu jaa na vitangawizii eeeh Baba chanja baba chanja e (eeeeh) Chukua vyote chukua (kulaa) Vitafune nganjanganja e (eeeeh) Chakua mwaya chakau (kulaa) Ujibusti na karanga e (eeeeh) Tuliza na kitumbua ila (kulaa) Jiadhali na majanga we Usije ukaugua mana Ikipanda ni balaaa (naogopa) Ikishuka ndo hataali (naogopa) Asije pata madhara (naogopa) Akaikosa na hali (naogopa) Ladha yake msalaa (naogopa) Shira ya kizanzibar (naogopa) Nami simpii mi wala Akitaka nampa Ai su kaari (nampatia) A Sugar sukari (nampatia) Su kaari (nampatia) A Sugar sukari (nampatia) Su kaari (nampatia) Sugar sukari (nampatia) Su kaari (nampatia) A Sugar sukari (nampatia) Nimroge kwanini kashanogewa (daambua dambua) Udambu wa sukarini tamu kolea (daambua dambua) A sema da dambua (dambua) We dambua (dambua) Alua aluaa (dambua) We dambua (dambua) A sema da dambua (dambua) We dambua (dambua) Inama kama unafua (dambua) Kiguru nyanyuaa (dambua) Ey
Writer(s): Zuhura Othman Soud Lyrics powered by www.musixmatch.com
instagramSharePathic_arrow_out