Music Video

Music Video

Credits

PERFORMING ARTISTS
Zabron Singers
Zabron Singers
Performer
COMPOSITION & LYRICS
JAPHET ZABRON PHILIP
JAPHET ZABRON PHILIP
Songwriter
Marco Joseph Bukuru
Marco Joseph Bukuru
Songwriter

Lyrics

[Verse 1]
Sitaki kuwa wa hivi, hivi mimi
Kuipenda dunia nikaikosa mbingu
Kuwa vumbi la majivu kwa watakatifu
Litakalo kanyagwa na wa washindi wa dhambi
[Verse 2]
Sitaki kuwa wa hivi, hivi mimi
Kuipenda dunia nikaikosa mbingu
Kuwa vumbi la majivu kwa watakatifu
Litakalo kanyagwa na wa washindi wa dhambi
[Verse 3]
Duniani mbinguni Mungu tuwe wote
Mbali ulikonitoa usiniache
Na ukiwa umeniheshimisha hapa chini
Yesu akija ruhusu niende na yeye
[Verse 4]
Ninafurahi kuona vile unanijali
Nikiwa mdogo mkubwa Mungu uko nami
Kwenye vikwazo vitisho umekuwa na mimi
Mchana usiku bega kwa bega uko nami
[Chorus]
Eh usiniache Mungu wangu, usiniache Mungu wangu
Baba tangu nikiwa mdogo mdogo umekuwa nami
Siku zote
Umenibariki vingi, ukanisamehe mengi
Baba ukinibariki unikumbushe nisikusahau
Siku zote
Nia yangu mi unimiliki baba yangu jana, leo
Baba na mpango kwenda Jerusalem
Unikumbuke niwe pale
[Chorus]
Usiniache Mungu wangu (Baba)
Usiniache Mungu wangu (Baba)
Usiniache (Baba) siku zote
Umenibariki vingi (Baba)
Ukanisamehe mengi (Baba)
Usiniache (Baba)
Nia yangu Mungu (Baba)
Unimiliki baba yangu (Baba)
Jana leo hata kesho (Baba)
[Verse 5]
Lutu alikataa kubaki hivyo, hivyo
Ukakataa kupenda uovu wa Sodoma
Katikati ya mji wa uovu wa dhambi
Kwa uaminifu ukamuakilisha Mungu
[Verse 6]
Lutu alikataa kubaki hivyo, hivyo
Ukakataa kupenda uovu wa Sodoma
Katikati ya mji wa uovu wa dhambi
Kwa uaminifu ukamuakilisha Mungu
[Verse 7]
Naomba nami niwe mtumwa mwaminifu
Niwakilishe vyema jina la Yesu
Hata kama dunia ikithiri uovu
Ruhusu nisimame nikutetee
[Verse 8]
Na siku ile Mwokozi wangu ataporudi
Aseme vyema we ni mtumishi mwema
Kisha nikae nipae mawingu nina Yesu
Kuanzisha familia mpya na Mungu
[Chorus]
Eh usiniache Mungu wangu, usiniache Mungu wangu, usiniache
Baba tangu nikiwa mdogo mdogo umekuwa nami
Siku zote
Umenibariki vingi, ukanisamehe mengi, usiniache
Baba ukinibariki unikumbushe nisikusahau
Siku zote
Nia yangu mi unimiliki baba yangu jana, leo
Baba na mpango kwenda Jerusalem
Unikumbuke niwe pale
[Chorus]
Usiniache Mungu wangu (Baba)
Usiniache Mungu wangu (Baba)
Usiniache (Baba) siku zote
Umenibariki vingi (Baba)
Ukanisamehe mengi (Baba)
Usiniache (Baba)
Nia yangu Mungu (Baba)
Unimiliki baba yangu (Baba)
Jana leo hata kesho (Baba)
Babaa
Written by: JAPHET ZABRON PHILIP, Marco Joseph Bukuru
instagramSharePathic_arrow_out

Loading...