Credits
PERFORMING ARTISTS
Otile Brown
Performer
COMPOSITION & LYRICS
Otile Brown
Songwriter
PRODUCTION & ENGINEERING
Reginald Kingd
Producer
Lyrics
[Chorus]
Hujawai kukosea, sijawahi kuwa sawa
Ooh beiby, unaninyanyasa sana
Hujawai kukosea, sijawahi kuwa sawa
Ooh beiby, unanitesa sana (Ooh oh, oh)
[Verse 1]
Sometimes nafanya zile vitu sipendi ili nikuridhie
Ila ndo bado nanong'ona, yeah, yeah
Natamani ardhi ipasuke, inimeze
Maana mwenzio nimechoka
Mwenyezi Mungu niwezeshe
Bora iliponifika inisepe
Kama umenichoka unieleze beiby
[Verse 2]
Mwenyezi Mungu niwezeshe
Bora iliponifika inisepe
Kama umenichoka unieleze beiby
[Chorus]
Hujawai kukosea, sijawahi kuwa sawa
Ooh beiby, unaninyanyasa sana
Hujawai kukosea, sijawahi kuwa sawa
Ooh beiby, unanitesa sana
[Verse 3]
Elewa sishindani nawe
Sibishani na wewe, mama utakalo na liwe
Elewa sishindani nawe
Sibishani na wewe, mama utakalo na liwe
[Verse 4]
Beiby niende kushoto uende kulia, kama hatutakani
Nimekuvumilia, ila ni kama hatuendani
Kila siku vitimbi, utadhani vioja mahakamani
Hapa ilipotimia kwa hili penzi nishapoteza imani
[Chorus]
Hujawai kukosea, sijawahi kuwa sawa
Ooh beiby, unaninyanyasa sana
Hujawai kukosea, sijawahi kuwa sawa
Ooh beiby, unanitesa sana
[Chorus]
Hujawai kukosea, sijawahi kuwa sawa
Ooh beiby, unaninyanyasa sana
Hujawai kukosea, sijawahi kuwa sawa
Ooh beiby, unanitesa sana
Written by: Otile Brown