Top Songs By Bensoul
Similar Songs
Credits
PERFORMING ARTISTS
Bensoul
Performer
COMPOSITION & LYRICS
Bensoul
Songwriter
Mutoriah
Composer
PRODUCTION & ENGINEERING
Joe Mutoriah
Producer
Lyrics
Oh-ooh
Aki mapenzi ya Pwani utaweza wewe?
Sudah
Mombasani, Kongowea
Nilipatanana na Leah
Vitu tamu akanipea
Vitu mi sijazoea
Biryani ya top layer
Avocado ongezea
Moyoni naogelea (ah-ah-ah)
Na kwanza tukipendana
Napepea
Kwanza zetu zikiguzana mama
Sijazoea
Ma mama
Na, napepea
Tukipendana
Sijazoea
Na, na, na
Na, napepea
Tukiguzana
Sijazoea
Umenipandisha mpaka wingu la tisa
Pale umeshika, vile umeshika mama (ah, ah)
Umeshikanisha sita na tisa, baby
Basi niambie ukifika tufike pamoja my love
Na, na, na, na, na, na
Na, napepea
Tukipendana
Sijazoea
Na, na, na
Na, napepea
Tukiguzana
Sijazoea
Na, na, na
Na, napepea
Na, na, na
Sijazoea (na, na, na, na)
Na, na, na, na, na
Na, na, na, na, na
Na, na, na, na, na
Na, napepea
Tukipendana mama
Sijazoea
Na, na, na, na, na
Writer(s): Benson Mutua Muia
Lyrics powered by www.musixmatch.com