Music Video
Top Songs By Bensoul
Similar Songs
Credits
PERFORMING ARTISTS
Bensoul
Performer
Hornsphere
Performer
COMPOSITION & LYRICS
Bensoul
Songwriter
Bien-aime Baraza
Songwriter
Hendrick Sam
Composer
PRODUCTION & ENGINEERING
Hendrick Sam
Producer
Lyrics
Karibuni kwa Mida ya, ya 420
Kurudishia mwili asante na kumedi
Kama hauna yako basi pigia peddi
Juu zikiwaka zinawaka mpaka weekendi
Okay
Mama pitishia baba (ni 420)
Polisi pitishia raia (ni 420)
Waititu pitishia Sonko (ni 420)
(Wewacha)
Everybody legalize
Pale, kumewaka tire, Weh kuja na nare,
Hapa ni ng'welo tunara-ra-ra (ahh)
Na wale (wale wale)
Wameachanganya na Ngale
Wakapigie Nje
Hapa ni ng'welo tunara-ra-ra (ahh)
Okay
Karibuni kwa Mida ya, Ya 420 (Masaa ya kazi)
Kurudishia mwili asante na Kumedi
Kama hauna yako basi pigia peddi
Juu zikiwaka zinawaka mpaka weekendi
Karibuni kwa Mida ya, Ya 420
Kurudishia mwili asante na Kumedi
Kama hauna yako basi pigia pedi
Juu zikiwaka zinawaka mpaka weekendi
Na hii si niko kanisani (ni 420)
Kanyari pitishia Ng'ang'a (ni 420)
(Weuh)
Juu zinawaka hadharani (ni 420)
Everybody legalize (legalize)
Pale, Sol Generation iko ndani,
Vibe imekubali
Hapa ni ng'welo tuna ra-ra-ra
Na wale
Wa maunga na matembe
Wakapigie nje
Hapa ni ng'welo tunara-ra-ra
(Baby)
Karibuni kwa mida ya, Ya 420 (masaa ya kazi weuh)
Kurudisha mwili asante na Kumedi
Kama hauna yako basi pigia peddi (pigia peddi)
Juu zikiwaka zinawaka mpaka weekendi
(Pigia peddi oh yo yo yo)
Karibuni kwa mida ya, Ya 420
Kurudisha mwili asante na Kumedi
Kama hauna yako basi pigia peddi
Juu zikiwaka zinawaka mpaka weekendi
Sudah
Oh no no no no no
Mambo mengi
Masaa ndio machache
O lo lo lo
Writer(s): Bien Aime Alusa, Benson Mutua Muia, Ywaya Eugine Simon
Lyrics powered by www.musixmatch.com