album cover
Maboss
140,400
Bongo-Flava
Maboss was released on May 30, 2024 by Mafioso Inc as a part of the album Maboss - Single
album cover
Most Popular
Past 7 Days
00:00 - 00:05
Maboss was discovered most frequently in the first few seconds of the song during the past week
00:00
00:05
00:15
00:30
00:40
00:45
00:50
01:00
01:10
01:15
01:35
02:00
02:25
02:40
03:05
00:00
03:20

Music Video

Music Video

Credits

PERFORMING ARTISTS
Billnass
Billnass
Performer
Jux
Jux
Performer
COMPOSITION & LYRICS
William Nicholaus Lyimo
William Nicholaus Lyimo
Composer
PRODUCTION & ENGINEERING
S2Kizzy
S2Kizzy
Producer

Lyrics

[Chorus]
Hatuagizwi na maboss
Sisi wenyewe maboss
Wanatuombea mikosi
Tunalindwa na sir God pekee
[Verse 1]
Wanasema roho mbaya roho mbaya kweli ninayo
Nafanya makusudi kushinda hizo chuki zao
Tena wanafiki bado nakula nao
Na hainipi shida riziki hawatoi wao
[Verse 2]
Ex wangu anatamani niachike
Nifubae niishe nidhalilike
Adui zangu wanatamani wanizike
Niwe choka mbaya na mwisho nifilisike
[Chorus]
Hatuagizwi na maboss
Sisi wenyewe maboss
Wanatuombea mikosi
Tunalindwa na sir God pekee
[Chorus]
Tena wanaforce kutuona tunalost
Wanatuombea mikosi
Tunalindwa na sir God pekee
[Verse 3]
Haohao, haohao wananisema mimi hawaoni yao
Haohao, haohao wakiomba mabaya yanarudi kwao
Haohao, haohao wananisema mimi hawaoni yao
Haohao, haohao wakiomba mabaya yanarudi kwao
[Chorus]
Hatuagizwi na maboss
Sisi wenyewe maboss
Wanatuombea mikosi
Tunalindwa na sir God pekee
Tena wanaforce kutuona tunalost
Wanatuombea mikosi
Tunalindwa na sir God pekee
[Bridge]
Huwezi pangua mipango ya Mungu
Mipango ya Mungu
Mipango ya Mungu
Mipango ya Mungu
[Verse 4]
Na hao marafiki wanafiki tunaishi nao
Wanachuki kama labda tunaishi kwao
Wanashindwa kurithi nyumba na mali za baba zao
Cha kushangaza wanarithi tabia za dada zao
[Verse 5]
Ex wangu anatamani niachike
Nifubae niishe nidhalilike
Adui zangu wanatamani nizikwe
Niwechoka mbaya na kesho nifilisike
[Chorus]
Hatuagizwi na maboss
Sisi wenyewe maboss
Wanatuombea mikosi
Tunalindwa na sir God pekee
[Chorus]
Tena wanaforce
Kutuona tunalost
Wanatuombea mikosi
Tunalindwa na sir God pekee
[Refrain]
Haohao, haohao wananisema mimi hawaoni yao
Haohao, haohao wakiomba mabaya yanarudi kwao
Haohao, haohao wananisema mimi hawaoni yao
Haohao, haohao wakiomba mabaya yanarudi kwao
[Chorus]
Hatuagizwi na maboss
Sisi wenyewe maboss
Wanatuombea mikosi
Tunalindwa na sir God pekee
Tena wanaforce kutuona tunalost
Wanatuombea mikosi
Tunalindwa na sir God pekee
[Outro]
Huwezi pangua mipango ya Mungu
Mipango ya Mungu
Mipango ya Mungu
Mipango ya Mungu
Written by: William Nicholaus Lyimo
instagramSharePathic_arrow_out􀆄 copy􀐅􀋲

Loading...