album cover
Kaa Nami (Live)
85,238
Ambient
Kaa Nami (Live) was released on October 2, 2024 by 看见音乐 as a part of the album Kaa Nami - EP (Live)
album cover
Most Popular
Past 7 Days
00:30 - 00:35
Kaa Nami (Live) was discovered most frequently at around 30 seconds into the song during the past week
00:00
00:10
00:15
00:30
01:00
01:15
01:35
01:55
02:00
02:05
02:10
02:30
02:35
02:40
02:55
03:15
03:30
03:35
03:45
03:55
04:10
04:40
05:05
05:15
05:20
05:40
06:05
06:20
06:35
06:55
07:30
07:35
07:55
08:10
08:20
08:45
09:00
09:05
11:55
12:15
12:20
13:15
00:00
13:40

Music Video

Music Video

Lyrics

[Verse 1]
Kutakuwa milima haitaondolewa
Kutakuwa na mito na sitaweza kuvuka
Sio kila ombi litajibiwa nipendavyo
Sio kila wimbo utakaotuliza moyo
Nimekupata, nina mtetezi
Unionyeshe njia zako
Nikujue
[Chorus]
Ikiwa nimepata neema kwako, unikumbuke
Jicho lako liwe juu yangu nyakati zote
Wema wako unisindikize hadi tamati
[Chorus]
Hili ni ombi langu, nakumwagia moyo
Ninachoomba kaa nami
Ikiwa nimepata neema kwako
[Verse 2]
Kutakuwa milima haitaondolewa
Kutakuwa na mito na sitaweza kuvuka
Sio kila ombi litajibiwa nipendavyo
Sio kila wimbo utakaotuliza moyo
Nimekupata, nina mtetezi
Unionyeshe njia zako
Nikujue
[Chorus]
Ikiwa nimepata neema kwako, unikumbuke
Jicho lako liwe juu yangu nyakati zote
Wema wako unisindikize hadi tamati
[Chorus]
Hili ni ombi langu, nakumwagia moyo
Ninachoomba kaa nami
Ikiwa nimepata neema kwako
[Chorus]
Ikiwa nimepata neema kwako, unikumbuke
Jicho lako liwe juu yangu nyakati zote
Wema wako unisindikize hadi tamati
[Chorus]
Hili ni ombi langu, nakumwagia moyo
Ninachoomba kaa nami
Ikiwa nimepata neema kwako
[Verse 3]
Kumbuka hayo mema niwaombeayo
Wanaonifurahia
Maadui zangu nao, uwape kukujua
[Verse 4]
Uwabaliriki kwa utele
Uwanyeshee mvua
Yamkini watapata kuona
Wapumue upendo
[Verse 5]
Tunaoshiriki hii huduma
Uwape uamsho
Uwabaliriki kwa utele
Baba wala-hi-sishie
[Verse 6]
Tunaoshiriki hii huduma
Uwape uamsho
Uwabaliriki kwa utele
Baba wala-hi-sishie
[Verse 7]
Kumbuka hayo mema niwaombeayo
Wanaonifurahia
Maadui zangu nao, uwape kukujua
[Verse 8]
Uwabaliriki kwa utele
Uwanyeshee mvua
Yamkini watapata kuona
Wapumue upendo
[Verse 9]
Tunaoshiriki hii huduma
Uwape uamsho
Uwabaliriki kwa utele
Baba wala-hi-sishie
[Verse 10]
Tunaoshiriki hii huduma
Uwape uamsho
Uwabaliriki kwa utele
Baba wala-hi-sishie
[Chorus]
Ikiwa nimepata neema kwako, unikumbuke
Jicho lako liwe juu yangu nyakati zote
Wema wako unisindikize hadi tamati
[Chorus]
Hili ni ombi langu, nakumwagia moyo
Ninachoomba kaa nami
Ikiwa nimepata neema kwako
[Chorus]
Ikiwa nimepata neema kwako, unikumbuke
Jicho lako liwe juu yangu nyakati zote
Wema wako unisindikize hadi tamati
[Chorus]
Hili ni ombi langu, nakumwagia moyo
Ninachoomba kaa nami
Ikiwa nimepata neema kwako
[Verse 11]
Kwa maswali na majibu
Umasikini utajiri
Usumbufu utulivu
Ewee Mwokozi kaa nami
[Verse 12]
Kwa kupanda kwa kushuka
habari za kuvunja moyo
Kwa uzushi na uongo
Ewee Mwokozi kaa nami
[Verse 13]
Kwa maswali na majibu
Umasikini utajiri
Usumbufu utulivu
Ewee Mwokozi kaa nami
[Verse 14]
Kwa kupanda kwa kushuka
Habari za kuvunja moyo
Kwa uzushi na uongo
Ewee Mwokozi kaa nami
[Chorus]
Kwa maswali na majibu
Umasikini utajiri
Usumbufu utulivu
Ewee Mwokozi kaa nami
[Verse 15]
Kwa kupanda kwa kushuka
Habari za kuvunja moyo
Kwa uzushi na uongo
Ewee Mwokozi kaa nami
[Chorus]
Ikiwa nimepata neema kwako, unikumbuke
Jicho lako liwe juu yangu nyakati zote
Wema wako unisindikize hadi tamati
[Chorus]
Hili ni ombi langu, nakumwagia moyo
Ninachoomba kaa nami
Ikiwa nimepata neema kwako
[Chorus]
Hili ni ombi langu, nakumwagia moyo
Ninachoomba kaa nami
Ikiwa nimepata neema kwako
Hili ni ombi langu, nakumwagia moyo
Ninachoomba kaa nami we
Ikiwa nimepata neema kwako
[Chorus]
Hili ni ombi langu, nakumwagia moyo
Ninachoomba kaa nami
Ikiwa nimepata neema kwako
[Chorus]
Hili ni ombi langu, nakumwagia moyo
Ninachoomba kaa nami
Ikiwa nimepata neema kwako
[Chorus]
Hili ni ombi langu, nakumwagia moyo
Ninachoomba kaa nami
Ikiwa nimepata neema kwako
Written by: Israel Mbonyi
instagramSharePathic_arrow_out􀆄 copy􀐅􀋲

Loading...