album cover
Mbeba Maono
3,468
African
Mbeba Maono was released on January 1, 2012 by Bahati Bukuku as a part of the album Dunia Haina Huruma
album cover
Release DateJanuary 1, 2012
LabelBahati Bukuku
Melodicness
Acousticness
Valence
Danceability
Energy
BPM56

Credits

PERFORMING ARTISTS
Bukuku Bahati John
Bukuku Bahati John
Performer
COMPOSITION & LYRICS
Bahati Bukuku
Bahati Bukuku
Songwriter

Lyrics

Ndoto ya Yusufu alipowaambia ndugu zake
Maono ya Yusufu alipowaambia ndugu zake
Kwamba ameona wakimwabudu, wakimsujudia
Kwamba ameona wakimwabudu, na kumsujudia
Ndoto ya Yusufu ndicho kilikuwa chanzo
Ndoto ya Yusufu kilikuwa ni chanzo cha vita yake
Mbeba maono hafi, inuka Bwana ana kusudi nawe
Mbeba maono hafi, inuka Bwana ana kusudi nawe
Mbeba maono hafi, ni lazima yatimie
Mbeba maono hafi, ni lazima yaonekane
Mbeba maono hafi, ni lazima yatimie
Mbeba maono hafi, ni lazima yaonekane
Shetani ameota ndoto ya kwamba umeshindwa
Mbinguni malaika wanashangilia ya kwamba umeshinda
Maana mbeba maono hafi, inuka Bwana ana kusudi nawe
Maana mbeba maono hafi, inuka Mungu ana kusudi nawe
Yale maono yako juu ya familia yako
Yale maono yako juu ya kuinua kazi ya Mungu
Maono yako yako hafi
Amechukuwa nani
Maana mbeba maono hafi, inuka Mungu ana kusudi nawe
Maana mbeba maono hafi, inuka Mungu ana mpango nawewe
Mbeba maono hafi, ni lazima yatimie
Mbeba maono hafi, ni lazima yaonekane
Mbeba maono hafi, ni lazima yatimie
Mbeba maono hafi, ni lazima yaonekane
Ndoto ya Yusufu kweli ilichelewa
Akatupwa gerezani, ndoto ilichelewa
Lakini mwisho wa siku ndoto ilitima
Wale walio mwuuza utumwani ndio walio wamwangukia tena
Yawezekana na wewe leo ndoto imechelewa
Hao wanaokudharau leo ndio watakao kuheshimu
Umebeba maono gani juu ya maisha yako
Yawezeka kuna watu wamekukatisha tamaa
Yawezeka kuna wengine wamekuvunja moyo
Maana mbeba maono hafi, inuka Mungu ana kusudi nawe
Mbeba maono hafi, ni lazima yatimie
Mbeba maono hafi, ni lazima yaonekane
Mbeba maono hafi, ni lazima yatimie
Mbeba maono hafi, ni lazima yaonekane
Mbeba maono hafi, ni lazima yatimie
Mbeba maono hafi, ni lazima yaonekane
Written by: Bahati Bukuku
instagramSharePathic_arrow_out􀆄 copy􀐅􀋲

Loading...