Şarkı sözleri

Nikiwa mbali na uwepo wa macho yako Mimi mgonjwa siwezi pona Nitatulia nikikuona aah... aaah Niwapo ubavuni mwako Nadeka kama mtoto akiwa kwa mama Nimetulia nikikuona aaah... aaah Tabia umenibadilisha Pozi zote kwisha Ujeuri ndio kabisa Nimechange... ii Nahofia ukija nichoresha Machozi sipati picha Safari ukaikatisha Huku sijiwezi Najiona hodari Juu ya penzi lako Sina habari Juu ya penzi lako Nimeonja asali Juu ya penzi lako Najiona mbali Najiona hodari Juu ya penzi lako Sina habari Juu ya penzi lako Nimeonja asali Juu ya penzi lako Najiona mbali Mtamu kama mua, mua, mua, mua Game lako murua, murua, murua, murua Mtamu kama mua, mua, mua, mua Game lako murua, murua, murua, murua Unavyonikanda na kunitua We nigangue nikiugua Unanifanya najishebedua Ayee. Puliza marashi wapi mafua Wanaopenda kudadavua Sie tunapika na kupakua Ayee.ayee Hatuna kelele Tunaendana, endana Mpaka milele eeh Tutazikana Najiona hodari Juu ya penzi lako Sina habari Juu ya penzi lako Nimeonja asali Juu ya penzi lako Najiona mbali Mtamu kama mua, mua, mua, mua Game lako murua, murua, murua, murua Mtamu kama mua, mua, mua, mua Game lako murua, murua, murua, murua Kama mua, mua, mua, mua Game lako murua, murua, murua, murua
Writer(s): Marianne Namshali Mdee Lyrics powered by www.musixmatch.com
instagramSharePathic_arrow_out