album cover
Ntampata Wapi
122.411
Afro-Pop
Ntampata Wapi adlı parça albümünün bir parçası olarak WM South Africa tarafından 20 Kasım 2014 tarihinde yayınlandıNtampata Wapi - Single
album cover
En Popüler
Geçtiğimiz 7 Gün
00:15 - 00:20
Ntampata Wapi geçen hafta yaklaşık 15 saniye civarında en sık keşfedilen şarkı oldu
00:00
00:05
00:15
00:50
01:10
01:20
02:00
02:05
02:10
02:20
02:40
03:00
03:10
03:35
00:00
03:43

Krediler

PERFORMING ARTISTS
Diamond Platnumz
Diamond Platnumz
Vocals
COMPOSITION & LYRICS
Diamond Platnumz
Diamond Platnumz
Songwriter
PRODUCTION & ENGINEERING
Sheddy Clever
Sheddy Clever
Producer
Tuddy Thomas
Tuddy Thomas
Producer

Şarkı sözleri

(Wasafi)
Sura yake mtaratibu
Mwenye macho ya aibu
Kumsahau najaribu
Ila namkumbuka sana
Umbo lake mahbibu
Kwenye maradhi alionitibu
Siri yangu, ukarimu
Bado namkumbuka sana
Alionifanya silali (eh) jua kali (eh)
Nitafute tukale
Lakini hata hakujali, darling
Akatekwa na wale
Alionifanya silali (eh) jua kali (eh)
Nitafute tukale
Ila wala hakujali
Darling, ah-aah
Nitampata wapi, kama yule?
Niliompendaga sana
Nitampata wapi, kama yule?
Nae anipende sana
Nitampata wapi, kama yule?
Niliompendaga sana
Nitampata wapi, kama yule?
Nae anipende sana
Aii, aii, nyota
Nyota ndio tatizo langu
Aii, nyota
Mpaka nalia pekee yangu
Aii, nyota
Nyota ndio shida yangu
Nyota
Wamenizidi wenzangu
Alidanganywa na wale (wale)
Wenye pesa nyumba ghali (ghali)
Mi kapuku hakunijali (jali)
Akanimbia, hm
Alidanganywa na wale (wale)
Wenye pesa nyumba ghali (ghali)
Mi mnyonge hakunijali (jali)
Akanikimbia
Alonifanya silali (eh) jua kali (eh)
Nitafute tukale
Lakini hata hakujali, darling
Akatekwa na wale (halo)
Alonifanya silali (eh) jua kali (eh)
Nitafute tukale
Ila wala hakujali
Darling, ah-aah
Nitampata wapi? (Oh, wapi?) Kama yule
Niliompendaga sana (nampenda sana)
Nitampata wapi kama yule (oh, sana)
Nae anipende sana
Nitampata wapi, kama yule? (Penda sana)
Niliompendaga sana (nampenda sana)
Nitampata wapi, kama yule? (Oh, sana)
Nae anipende sana
Bado ananijia ndotoni (bado)
Ila nikiamka simwoni (bado)
Bado ananijia nikilala (bado)
Haki ya Mungu sio masihara
Bado ananijia ndotoni (bado)
Ila nikiamka simwoni (bado)
Bado ananijia nikilala (bado)
Haki ya Mungu sio masihara
Yo' touch clever (bado)
Hii ni sauti ya raisi (bado)
Ilomshindaga ibilisi (bado)
Kwa mwanadamu sio rahisi, aha
Na mwambie (bado)
Lazma ujue kutofautisha
Kati ya msalaba na jumuilisha
Kuna X na kuzidisha
Ni cheche (cheche...)
Bado ananijia nkilala
Haki ya Mungu sio masihara
Written by: Diamond Platnumz
instagramSharePathic_arrow_out􀆄 copy􀐅􀋲

Loading...