Willy Paul'in En Sevilen Şarkıları
Benzer Şarkılar
Krediler
PERFORMING ARTISTS
Willy Paul
Performer
COMPOSITION & LYRICS
Willy Paul
Songwriter
Şarkı sözleri
Uhuhu willy willy willy msafi
Noma moto ngoma noma yani kali
Msela kali ngoma noma mhh(Teddy B)
Aa nana nanananana nananaaii nanananai
Wacha nisifu baba nimwabudu nani jalali
Wacha nisifu baba nimwabudu nani jalali
Vigele vigele vigele vigele vigelegele eeh
Vigele vigele vigele vigele vigelegele eeh
Nakuonya we Nyambura usijaribu nikaribia
Ata na wewe Anyango
Nimeshaonyeshwa nia yako
Mwataka kuniweka chini
Futi kumi na mbili
Nimekosa nini
Kosa nimekosa nini
Mwataka kuniweka chini
Futi kumi na mbili
Nimekosa nini
Mapenzi yangu ni ya mwenyezi
Noma ngoma noma
Yani kali msela kali
Ngoma noma noma sana(lego)
Aa nanananai nananai
Nanananai nanananai
Wacha nisifu baba nimwabudu nani jalali
Wacha nisifu baba nimwabudu nani jalali
Vigele vigele vigele vigele vigelegele eeh
Vigele vigele vigele vigele vigelegele eeh
Mi awilly a Awilly
Nimekosa nini a awilly
Simuniwachane a awilly
Nimusifu Mungu a awilly
Ye ndiye baba a awilly
(Ziing)mwanisema mimi i
Nimekosa nini i
Mwataka kuniweka chini i
Futi kumi na mbili i
Nimekosa nini i
Mapenzi yangu ni ya mwenyezi
Noma ngoma noma yani kali
Msela kali ngoma noma noma sana leego
Nana nananai nananai
Nanananai nananai
Wacha nisifu baba nimwabudu nani jalali
Wacha nisifu baba nimwabudu nani jalali
Vigele vigele vigele vigele vigelegele eeh
Vigele vigele vigele vigele vigelegele eeh
Mhhhh kwa masela wote wanapenda Mola
Nipe mikono juu tumsifu Mola
Tusifu sana mhhh
Noma ngoma noma
Yaani moto ya zambe
Noma ngoma noma
Yani noma noma sana msela kali ngoma kali aha oho aha aha
Writer(s): Wilson Abubakar Radido,
Lyrics powered by www.musixmatch.com