album cover
Macmuga
54.396
Bongo-Flava
Macmuga adlı parça albümünün bir parçası olarak Kings Music Records Label tarafından 1 Haziran 2006 tarihinde yayınlandıCinderella
album cover
En Popüler
Geçtiğimiz 7 Gün
00:00 - 00:05
Macmuga geçen hafta ilk birkaç saniyesinde en sık keşfedilen şarkı oldu
00:00
00:05
00:15
00:20
00:40
00:55
01:15
01:20
02:00
02:20
02:25
02:30
02:40
04:00
04:05
04:20
04:50
00:00
04:59

Müzik Videosu

Müzik Videosu

Krediler

PERFORMING ARTISTS
Alikiba
Alikiba
Performer
Ally Salehe Kiba
Ally Salehe Kiba
Chorus
COMPOSITION & LYRICS
Ally Salehe Kiba
Ally Salehe Kiba
Songwriter
PRODUCTION & ENGINEERING
KGT SHADEED
KGT SHADEED
Producer

Şarkı sözleri

Mcheza bongo Mac Muga
Yuko single sana Mac Muga
Ukimwona mtu akijinamia kwa sababu ya maisha yamchanganya
Chali wangu alizamia
Kuenda kusini mwa Africa
Huku pia akimchanua kwa sababu ya maisha aliyofuma
Alikuwa maarufu sana
Akajiona yeye ndo winner
Kwa kujichanganya na wasichana
Club zote za huko kujulikana
Yeye Mac Muga
Wewe Mac Muga
Ah, hii dunia
Mac Muga huruma!
Mungusha asumani alipofika South Africa
Alikuwa na maisha bora
Ya juu, ya thamani tena yanayohitajika
Magari yote kwa nyumba
Mungusha asumani alipofika South Africa
Alikuwa na maisha bora
Ya juu, ya thamani tena yanayohitajika
Magari yote kwa nyumba
Mbona sasa amesharejea
Hajui wapi ataanzia!
Hakuna kazi mtu akajinamia
Mac Muga hii ni dunia
Akajichezea
Gari ya kutembelea
Shida walimwelezea wasichana na shida zao akawatatulia
Upewe nini Mac Muga
Mungu akupe nini Mac Muga?
Nyumba ulijijengea, foro kuta nyumba
Wewe ndio wewe, wengine fala!
Wewe, Mac Muga
Mbona sasa umeshatimua!
South Africa wamekutimua
Na sasa home usharejea
Wewe Mac Muga
Mungu akupe nini Mac Muga?
Mungusha asumani alipofika South Africa
Alikuwa na maisha bora
Ya juu, ya thamani tena yanayohitajika
Magari makubwa, nyumba
Mungusha asumani alipofika South Africa
Alikuwa na maisha bora
Ya juu, ya thamani tena yanayohitajika
Magari makubwa, nyumba
Mbona sasa amesharejea
Hajui wapi ataanzia
Hakuna kazi mtu akajinamia
Mac Muga hii ni dunia!
(Yipes) Kama huoni kwa Mac Muga
Woi noma huruma kanyongo'nyea
Afanye nini sasa, cha kufanya
Kila anachachofanya anaona anakosea
Yikes, kama huoni kwa Mac Muga
Woi noma huruma kanyongo'nyea
Afanye nini sasa, cha kufanya
Kila anachachofanya anaona anakosea
Akiwa jambazi gereza ataishia
Akiwa mwizi anaona atauliwa
Akifikiria kujiua
Nafsi yamzusha basi analia
Wewe Mac Muga!
Mungu akupe nini Mac Muga?
Wewe Mac Muga!
Basi upewe nini Mac Muga?
Mungu alikuzawadia
Sasa ushachezea!
Wewe Mac Muga!
Basi upewe nini Mac Muga?
Mungu alikuzawadia maisha
Sasa ushachezea!
Haya, haya
Wangu Mac Muga
Msela hao
Wa mpani huna
Wasee wa maskani wanakukimbia!
Mac Muga noma
Aye, ye-ye, ye-ye eeh! Mac Muga
Skonde, upige moyo konde
Mac Muga!
Written by: Ally Salehe Kiba
instagramSharePathic_arrow_out􀆄 copy􀐅􀋲

Loading...