album cover
Mama
3.416
Afro-Beat
Mama adlı parça albümünün bir parçası olarak Warner Music Africa tarafından 19 Aralık 2024 tarihinde yayınlandıPeace And Money
album cover
Çıkış Tarihi19 Aralık 2024
FirmaWarner Music Africa
Melodiklik
Akustiklik
Valence
Dans Edilebilirlik
Enerji
BPM

Krediler

PERFORMING ARTISTS
Zuchu
Zuchu
Vocals
COMPOSITION & LYRICS
Zuhura Othman Soud
Zuhura Othman Soud
Songwriter
PRODUCTION & ENGINEERING
Lizer Classic
Lizer Classic
Producer

Şarkı sözleri

[Verse 1]
Rafiki yangu kwenye shida, rafiki yangu kwenye raha
Niko naye kila mida, hajawai nikataa
Yuko raddi mi kushiba, yeye ndo ashinde njaa
Sio mwengine ni mama
[Verse 2]
Labda nikupe picha
Uone nafasi yako manaa
Kikukosa kwenye maishaa
Eeh kiukweli itanichanganya
Eeh
[PreChorus]
Mitihanii
Yake yangu mimii
Nikulipe ninii
Kiasi gani mi sionii, oh mama
[Chorus]
Mamaa
I love you mamaa
Mamaa
Nakupenda sanaa
[Chorus]
Mamaa
I love you mamaa
Mamaa
Nakupenda sanaa
[Verse 3]
Eh Mola uliyejaa rehema natanguliza shukrani (Asante)
Bila huyu mama mwema ningekuwa mgeni wa nani (Asante)
Mnaowanjia heshima nye mnaezaje kwani
Mimi wangu akinuna moyo unakosa amani
[PreChorus]
Mitihanii
Yake yangu mimii
Nikulipe ninii
Kiasi gani mi sionii, oh mama
[Chorus]
Mamaa
I love you mamaa
Mamaa
Nakupenda sanaa
[Chorus]
Mamaa
I love you mamaa
Mamaa
Nakupenda sanaa
[Outro]
Hey mamangu njoo tucheze kandili (Kandili katikatikati katikati)
Cheza kandili (Kandili katikatikati katikati)
Tingiza kiwiliwili (Kandili katikatikati katikati)
Kaka (Kandili kati)
Written by: Zuhura Othman Soud
instagramSharePathic_arrow_out􀆄 copy􀐅􀋲

Loading...