album cover
Properly
121
Hip-Hop/Rap
Properly adlı parça albümünün bir parçası olarak Sony Music Entertainment East Africa tarafından 26 Kasım 2021 tarihinde yayınlandıProperly - Single
album cover
Çıkış Tarihi26 Kasım 2021
FirmaSony Music Entertainment East Africa
Melodiklik
Akustiklik
Valence
Dans Edilebilirlik
Enerji
BPM109

Krediler

PERFORMING ARTISTS
Nyashinski
Nyashinski
Performer
Femi One
Femi One
Vocals
COMPOSITION & LYRICS
Cedric Kadenyi
Cedric Kadenyi
Composer
Nyamari Ongegu
Nyamari Ongegu
Lyrics
WANJIKU KIMANI
WANJIKU KIMANI
Lyrics
PRODUCTION & ENGINEERING
Cedric Kadenyi
Cedric Kadenyi
Producer

Şarkı sözleri

Hallo! (Cedo) Hallo!
Kama we ni mwenyeji (Mmmh mmh)
We ni mwenyeji (Hallo)
Kama we si mwenyeji (Mmmh mmh)
Mind your business
Ka unataka ule anaichapa mpaka ilale
Basi harakisha njoo na
Nyumba inanukia shasha money
Usitume nini kwa floor na
Msupa ako mood ya ladha gane
Tunaeza enda fasta au slow baby
Naiva nikiskia ma Bob Marley
Nikitafta plan ya doh, yeah
Hatuanzishi vita tunamaliza
Nani ukiniita tuma mamita
Hao ma lip syncher wanawaingiza
Napanda stage ju naona miujiza
Originator, baba wa keja
Wananitii wananiiga
Nilikuwa nachoma mpaka kwa filter
Ka bado uko ushago, hallo
Life iko order
Mpaka ukweli inasound unachocha
Vile naifanya sio hoja
Huku East si ni si tunazoza
Tunaifanyanga, proper (Proper)
Proper (Proper) Properly
Tunaifanyanga, proper (Proper)
Proper (Proper) Properly
Tunaifanyaga
Sikudai number two wakanichuja daro
So nikajenga shule waje walipе karo
Sai mi ndio speaker Frank Ole Kaparo
Matutor zinapiga ki Usman Kamaru
Kwa fam ya kipunk sikutoka
So fam ya kipunk itatoka kwa mimi
Amini ni jasho na damu zinatoka
Nikiroga hii injili naitrеat kama dini
Sai ma divai zinakuja na mzinga
Wananidai na ni juzi waliringa
Mungu akisense unajua huwezi pinga
Odds ziko right mi sichezi na tinga
Okay! Ki Femi kijembe kikali
Bila budi inabidi wakubali
Pata ajali ujue nani anakujali
Hii maisha ni kali naichase na makali
Life iko order
Mpaka ukweli inasound unachocha
Vile naifanya sio hoja
Huku East si ni si tunazoza
Tunaifanyanga, proper (Proper)
Proper (Proper) Properly
Tunaifanyanga, proper (Proper)
Proper (Proper) Properly
Tunaifanyaga
Guess nani ako in the zone (Aje)
Na anafeel right at home (Aje)
Utajua nilikuwa kwa chuom (Aje)
Na harufu ya cologne (Ssaru)
Na sijawahi kosaga form (Sare)
Last year niliuza maphone (Sare)
Jana niliota naperform (Sare)
Na kabla ya kuota niliperform huh
Short na uli know kwa cliff
Kabla ujue mambo ya drone
Blunder imejaa na Keith
Nadry ni ka na clone
Mkiuliza nana ni gwiji hapa
Mi naskianga ka mnanikosea heshima
Hamwezi nipima, hamwezi nizima
Na nimeingia naskia wananiambia?
Life iko order
Mpaka ukweli inasound unachocha
Vile naifanya sio hoja
Huku East si ni si tunazoza
Tunaifanyaga, proper (Proper)
Proper (Proper) Properly
Tunaifanyanga, proper (Proper)
Proper (Proper) Properly
Tunaifanyaga
Life iko order
Mpaka ukweli inasound unachocha
Vile naifanya sio hoja
Huku East si ni si tunazoza
Tunaifanyaga, proper (Proper)
Proper (Proper) Properly
Tunaifanyanga, proper (Proper)
Proper (Proper) Properly
Tunaifanyaga
Written by: Cedric Kadenyi, Nyamari Ongegu, WANJIKU KIMANI
instagramSharePathic_arrow_out􀆄 copy􀐅􀋲

Loading...