Lyrics

Bwana ni mchungaji wangu Sitapungukiwa kitu Hunilaza kwenye majani mabichi Hunongoza kwa maji matulivu Hunihuisha nafsi yangu Huniongoza kwa njia za haki Nipitapo bondeni mwa mauti Sitaogopa wewe u nami Hakika wema nazo fadhili Zitanifuata mimi Nitakaa nyumbani mwa bwana Siku zote za maisha yangu Hakika wema nazo fadhili Zitanifuata mimi Nitakaa nyumbani mwa bwana Siku zote za maisha yangu Gongo lako na fimbo yako Vinanifariji mimi Waandaa meza mbele yangu Machoni pa watesi wangu Hakika wema nazo fadhili Zitanifuata mimi Nitakaa nyumbani mwa bwana Siku zote za maisha yangu Hakika wema nazo fadhili Zitanifuata mimi Nitakaa nyumbani mwa bwana Siku zote za maisha yangu Hakika wema nazo fadhili Zitanifuata mimi Nitakaa nyumbani mwa bwana Siku zote za maisha yangu Nitakaa nyumbani mwa bwana Siku zote za maisha yangu Nitakaa nyumbani mwa bwana...
Writer(s): Reuben Kigame Lyrics powered by www.musixmatch.com
instagramSharePathic_arrow_out