Lyrics

Ninanoki, ninanoki nikisikia hii muziki... Mimi na wewe Mimi na wewe Mimi na wewe Nameless na wewe Mimi na wewe Mimi na wewe Mimi na wewe Aiyaa ohh Aiyaa ohh Aiyaa ohh Aiyaa ohh Aiyaa ohh It's a Friday night, everything's alright Eeh nyinyi mabeste, twende tukatike If you like to dance, well then here's your chance Sisi wa Nairobi, tunapenda hepi It is in your eye, Ohh you can't deny Eii mumefurahi, wacha kujidai Hey you over there, hey you look familiar Si tukatike, mimi na wewe Aiyaaa ee yaa ee yaa ee Aiyaaa ee yaa ee yaa ee Aiyaa oo Aiyaa oo Aiyaaa ee yaa ee yaa ee Aiyaaa ee yaa ee yaa ee Aiyaa oo Aiyaa oo Huyu chikidee, akona bidii Ana dance kuku, huku na huku Na huyu jamaa, huyu yu shujaa Anajua kukata, bila kuhata It is in the air, it is everywhere Bet you feel like removing, your underwear Ogopa Dj, wacha kudelay Sisi tumefika, sasa tutawika Aiyaaa ee yaa ee yaa ee Aiyaaa ee yaa ee yaa ee Aiyaa oo Aiyaa oo Aiyaaa ee yaa ee yaa ee Aiyaaa ee yaa ee yaa ee Aiyaa oo Aiyaa oo Ohhh ameikoa, Ohhh ameikoa, Ohhh ameikoa Can we dance together? Manze umebeba, manze unaroga Umefanikiwa, Can we dance together? Kai mütaraigua wega mükeina, mükeina (Ninanoki, ninanoki nikisikia hii muziki) Mügeina kai mütaraigua wega, wega (Nikisikia hii muziki wanasema ninanoki) Aii aii, oh no Aii aii, oh no I'm losing control I'm losing control Aii aii, oh no Aii aii, oh no Wacha kujifanya, mnahanyahanya Aiyaaa ee yaa ee yaa ee Aiyaaa ee yaa ee yaa ee Aiyaa oo Aiyaa oo Aiyaaa ee yaa ee yaa ee Aiyaaa ee yaa ee yaa ee Aiyaa oo Aiyaa oo Ninanoki, ninanoki nikisikia hii muziki Nikisikia hii muziki wanasema ninanoki Ninanoki, ninanoki nikisikia hii muziki Nikisikia hii muziki wanasema ninanoki Ninanoki, ninanoki nikisikia hii muziki Nikisikia hii muziki wanasema ninanoki Ninanoki, ninanoki nikisikia hii muziki Nikisikia hii muziki wanasema ninanoki Ninanoki, ninanoki nikisikia hii muziki Nikisikia hii muziki wanasema ninanoki
Writer(s): Brian Nguah Lyrics powered by www.musixmatch.com
instagramSharePathic_arrow_out