制作
歌词
Nilikutana na Mulofa mmoja
Alidanganya anatoka jela
Aliniambia sina pesa ya chakula
Nilikutana na Mulofa mmoja
Alidanganya anatoka jela
Aliniambia sina pesa ya chakula
Nilisikia na huruma sana, nilitoa na shilingi tano
Nikamwambia nenda ukale chakula
Nilisikia na huruma sana, nilitoa na shilingi tano
Nikamwambia nenda ukale chakula
Kumbe uwongo alidanganya
Ni siku nyingi ameshindwa kazi
Anatafuta njia yakupatia chakula
Kumbe uwongo alidanganya
Ni siku nyingi ameshindwa kazi
Anatafuta njia yakupatia chakula
Nilikutana na Mulofa mmoja
Alidanganya anatoka jela
Aliniambia sina pesa ya chakula
Nilikutana na Mulofa mmoja
Alidanganya anatoka jela
Aliniambia sina pesa ya chakula
Written by: Daudi Kabaka