歌词
Yeah!
Yeah, baba
(La-la, la-la-la-la, la-la, la-la-la-la)
(Mafeeling make it)
Najiona wa ajabu, eh
Nikijitazama, hivi naota, ah, ama nachanganyikiwa?
Joto nalo lashuka degree, waliniliza TBT
Na moyo wangu nishakupana
Na wewe ndio nahodha wa meli yangu
Huhitaji CV, oh-oh-oh
Atukinge Ya Ilahi tuwe salama, ah
Atuepushe na mabaya ya wengine
Maana, najiona, nachanganyikiwa, oh, nyikiwa
Ndama, nanona, nanyonyeshwa maziwa, oh, maziwa, o-ho
(La-la, la-la-la-la, la-la, la-la-la-la)
Ah! Kama mapenzi ni Jihad, tuko peponi
Kwa jinsi tulivyopambana na hali, yetu rohoni
Kuna vijibe vya nafsi ya wale waroho, oh, waroho
Wanaosubiri tuachane hata kesho, sisi bado
Sisi bado (la-la, la-la-la-la)
Oh-oh-oh
Oh, sisi bado (la-la) kuachana sisi bado (kuachana sisi bado)
Sisi bado, oh, oh, oh, ooh, woah
Sisi bado, oh-oh
Kwani na wewe ndio nahodha wa meli yangu
Huhitaji CV, oh-oh-oh
Atukinge Ya Ilahi tuwe salama, ah
Atuepushe na mabaya ya wengine, yeah
Maana, najiona, nachanganyikiwa 'oh, nyikiwa
Ndama, nanona, nanyonyeshwa maziwa, oh, maziwa, o-ho
(La-la, la-la-la-la, la-la, la-la-la-la)
(La-la, la-la-la-la, la-la, la-la-la-la)
(The Mix Killer)
Written by: Ali Kiba, Ally Salehe Kiba, John Lubote


