歌詞

[Chorus]
Afadhali kungoja
Kumngoja Bwana
Subiri, subiri Bwana
Afadhali kungoja
Kumngoja Bwana
Subiri, subiri Bwana
[Verse 1]
Usichukue njia ya mkato
Usipotoshe mashauri ya wasio haki
Heri mtu yule, afuataye sheria za Bwana
Atakuwa kama mti kando kando ya maji
[Verse 2]
Huzaa matunda kwa majira yake
Kila atendalo atafanikiwa
Eeh
[Chorus]
Afadhali kungoja
Kumngoja Bwana
Subiri, subiri Bwana
Afadhali kungoja
Kumngoja bwana
Subiri, subiri Bwana
[Chorus]
Umekuwa na maswali mengi mno
Unashangaa Mungu yuko wapi
Umebishabisha Mungu yuko wapi
Kufunga na kuomba, kukesha na kuomba
Hupati majibu
[Verse 3]
Mungu sio mwanadamu hadanganyi
Subiri kwa imani
Subiri, wewe subiri
[Chorus]
Afadhali kungoja
Kumngoja Bwana
Subiri, subiri Bwana
Afadhali kungoja
Kumngoja Bwana
Subiri, subiri Bwana
Subiri, subiri Bwana
Subiri, subiri Bwana
Subiri, subiri Bwana
Subiri, subiri Bwana
Subiri, subiri Bwana
Subiri, subiri Bwana
Subiri, subiri Bwana
[Refrain]
Subiri, subiri Bwana
Subiri, subiri Bwana
Subiri, subiri Bwana
Subiri, subiri Bwana
Written by: Evelyn Wanjiru Kinyua
instagramSharePathic_arrow_out

Loading...