類似的歌曲
積分
演出藝人
Bamboo
演出者
詞曲
Simon Kimani
作曲
Bamboo
詞曲創作
歌詞
Ladies and gentlemen this is your captain speaking
Thank you for flying Bamboo air
Today we will be flying at an altitude of
Thirthy thousands rhymes per second
So put your seatbelts on and hold on tight
Ati ehh niko club nimekaa bila taabu
Na jamaa ana katia dem wangu kwa sabaabu
Napendanga masilver badala ya dhahabu
Ubaya miwanga najam kama mwarabu
LAkini mi utoa stress na kalamu na spit kwa mic na ina toka tu vitamu
Hii basi ni story ya dem wangu, staki magezetti ziaribu game yangu
Nime kaa nakadem kangu kasupuu
Namroga tu na mastyles zangu za vuduu
Nazilikuwa zinaflow tu kama maji, jama akakuja akamsalimia niaje?
Ati sasa baby, umepotea, imekuwa siku mingi ujatokea
Saa hizo minawish tu angepotea, akanisalimia hi, na akaendelea!
Usilete Compe kwanza kwa demu wangu manze
Aisee usiniletee hiyo ni mali yangu manzee eehn
Usilete Compe kwanza kwa demu wangu manze
Aisee usiniletee hiyo ni mali yangu manzee eehn
Sasa misipendangi kukuwa na wivu
Lakini pia heshima uwaga muhimu
Isitoshe akamwomba namba ya simu nikashindwa kwani huyo mse nimwazimu
Ati ehh baby, give me your line, usipotee sana nipigia sometime
Compe ni compe jo safi, mtu aje ajitetee roho safi
Mi sina time ya kujam sangapi
Uwivu uleta vita kama supuu awezi pita
Kabla chali hajamwita, dem ako na majamaa kaa sita
Ka figa lakini kanakuita, hips na thighs ubonga na zina skika
Zingine zina bonga kama spika
Usilete Compe kwanza kwa demu wangu manze
Aisee usiniletee hiyo ni mali yangu manzee eehn
Usilete Compe kwanza kwa demu wangu manze
Aisee usiniletee hiyo ni mali yangu manzee eehn
Sasa si nikabaki na dem hapo
Saa hizo jama asha rusha game hapo
Ni vile mtu ucheza na brain yako
Nikamwambia wazi jamaa anaclaim vako
Me nikalenga, jamaa akaenda, lakini ni obvious si anampenda
Na keep it real,Nadhani mnanifeel
Ni ngumu kupata dem kwa club na amechill
Siwezi funga mtu kaa police, niki kurelease nakwambia tu peace
Compe ni compe jo safi, mtu aje ajitetee roho safi
Lakini kwanza anipee nafasi nimpatie story yangu kiasi
Mimi sipendi kwanza weekendi Mtu rafiki lakini anapretendi
Watu wanaona ni kama wataniona lakini nimekupima na pia nimekusoma
Skia ngoma, compe ni noma, jamaa anaalika dem wako nyama choma!
Usilete Compe kwanza kwa demu wangu manze
Aisee usiniletee hiyo ni mali yangu manzee eehn
Usilete Compe kwanza kwa demu wangu manze
Aisee usiniletee hiyo ni mali yangu manzee eehn
Usilete Compe kwanza kwa demu wangu manze
Aisee usiniletee hiyo ni mali yangu manzee eehn
Usilete Compe kwanza kwa demu wangu manze
Aisee usiniletee hiyo ni mali yangu manzee eehn
Writer(s): Bamboo
Lyrics powered by www.musixmatch.com