旋律
歌曲有多麼清晰易記且符合明確音樂模式的旋律。通常,旋律分明的作品會擁有清晰易記的器樂或人聲主線。
原聲音質
此指標衡量一首歌曲在多大程度上依賴原聲樂器 (例如鋼琴、吉他、小提琴、鼓、薩克斯風),而非電子或數位合成音效
Valence
歌曲透過和聲與節奏所傳達的音樂積極性或情感基調。數值高通常對應快樂、興奮或愉悅感,數值低則與悲傷、憤怒或憂鬱相關。
節奏感
綜合了節拍穩定性、節奏型態與重拍強度等多重因素,以判定一首歌曲適合跳舞的程度。一首「節奏感強」的歌曲,通常具備穩定的速度、重複的音樂結構與明顯的強拍。
輕快
曲目的律動感可能受節奏快慢、音量起伏與聲譜密度所影響。較輕快的歌曲通常節奏強勁,編曲豐滿;反之,不太輕快的歌曲則可能編曲簡約、節奏較慢。
BPM92
積分
演出藝人
Juma Nature
演出者
詞曲
Paul Peter Matthijsse (P-Funk Majani)
作曲家
Juma Kassim Ally (Juma Nature)
作詞
製作與工程團隊
P-Funk Majani
製作人
歌詞
Sijui kama itawezekana (aah wapi)
Mtu niliyempenda sana (aah wapi)
Tukaja tukafarakana (aah wapi)
Sababu wanachonga sana (aah wapi)
Sijui kama itawezekana (aah wapi)
Mtu niliyempenda sana (aah wapi)
Tukaja tukafarakana (aah wapi)
Sababu wanachongasana (aah wapi)
Kuna mambo mwera huwa siyahusudu
Ni sawasawa na yale ambayo huwa wanafanya wadudu
Wadudu walio wengi na hasa wale waharibufu
Washazoea umbea fitna na kujenga bifu
Wanafanya uchunguzi kutoa wanaogopa tifu
Si migazeti mingine inalaani kuwa mtulivu
Nilichogundua mimi kumbe inataka iuze
Hii naitoa live na nataka mjifunze
Sasa hivi tutakatana mapanga siku ambayo nitachoka
Mbona nyinyi hamjiandiki kuwa mnabaka dada zetu?
Kila siku niache demu alienipenda niliempenda
Nikijiskia uchovu tu ananipa denda
Ananipa ushauri vipi biashara inakwenda
Hata mnichome moto kwanza kuniua ni kama ndoto
Mtakufa na viburi vyenu vya roho mlionavyo hivyo
Wengine ni mijamaa ambayo kila siku ina wivu
Wanataka wanipotoshe niwafate wengine niwe jivu
Nimewashtukia hamnipati ng’o
Tabia hazilingani mbinguni moto wa kijani
Mtawezaje kutuzuia jama kwani kitu gani?
Wako kama wangu kwanini ummezee mate?
Halafu nikipita mimi kwanini unatema mate?
Mwingine anakukuta upo kwenye mood nyingine
Halafu yeyeanakupa story nyingine
Wengine wananong’onezana mimate wanatemeana
Sijui kwanini wengine wanakuaga ni wambea
Mtavalishwa kanga shauri yenu
Halafu muanze kupita njiani halo halo
Mwanamke kuupara babu wee
Niachie mimi msela mgumu mwenye kuukaanga mbuyu
Mi ndo nshashinda niacheni mwenye meno nitafune
Vigenge havisaidii maneno muongeze bidii
Mnaweza mkajitahidi hebu ongezeni ongezeni bidii
Hata mjaze gunia la maneno siwasikilizi ng’o
Sijui kama itawezekana (aah wapi)
Mtu niliyempenda sana (aah wapi)
Tukaja tukafarakana (aah wapi)
Sababu wanachonga sana (aah wapi)
Sijui kama itawezekana (aah wapi)
Mtu niliyempenda sana (aah wapi)
Tukaja tukafarakana (aah wapi)
Sababu wanachonga sana (aah wapi)
Mwanamke wa bongo sharti umgharamie
Usipomgharamia wenye vitambi watakuchukulia
We unafikiri mwanamke wako atavumilia
Kuwaona mashoga zake mtaani wakimtanulia
Mwenzie *** kanunuliwa cheni ya dhahabu
Halafu kila jumapili tunaenda kumcheki muumini
Habari ndio hiyo washkaji hata mkinuna
Ni ngumu kuliacha baga wakati njaa inakubamiza
Unajaa uko ndefu kuanzia asubuhi hujaingiza
Na baga haina uchu kama utamu wa sambusa
Nimuache demu wako eti kisa kasema musa?
Musa si kama paka kila kitu ananusa
Yameshamshinda yake sasa anafata ya wenzake
Midemu iko mingi kama bilioni ishirini na tisa
Lakini nikitaka kuwafata tu roho yangu inasita
Yote ni shauri ya upendo wa kweli mkimind mtakufa
Wabongo sjui vipi hatuskii kivipi vipi
Jana kulikua na mtu amekufa kwasababu ya ngoma
Nikajivuta ili na mi niweze kuona
Ana ngoma ana ngoma wallahi hatopona
Alikufa na vikunyanzi utadhani mwili ameshona
Sasa faida iko wapi mbona mnanifata fata jama?
Niacheni na huyu ambae mnaniona kuwa chizi
Siwezi kumuacha kamwe nimfate nyambizi
Eti demu wako hafai hafaihafai
Na tena haongei hayo akiwa amekunywa pombe
Mtu mzima ana ndevu za osama lakini aibu hana
Si useme tu unatafuta njia tuachane
Ili umchukue mkale ndege mjichane
Acheni wivu wa sifa demu hataki *** kushika
Wengine mnazoza eti demu ana mimba
Ulimpa wewe??
Wengine wanasema hanipendi anataka mavumba
Wakati wako haujafika ukifika ntakutaarifu mdanganyifu mkubwa we
Tena hufai
Sijui kama itawezekana (aah wapi)
Mtu niliyempenda sana (aah wapi)
Tukaja tukafarakana (aah wapi)
Sababu wanachonga sana (aah wapi)
Sijui kama itawezekana (aah wapi)
Mtu niliyempenda sana (aah wapi)
Tukaja tukafarakana (aah wapi)
Sababu wanachonga sana (aah wapi)
Written by: Juma Kassim Ally (Juma Nature), Paul Peter Matthijsse (P-Funk Majani)

