Lyrics

Motema ezo lela est ce que ozo yoka nga Mawa na nga pe pinzoli eh Mboka nini na kende epayi ya nga, Nakeyi Dar-Es-Salaam Kolela na nga eleki ya moto mohumbu Oya azangaki liberte Kuna kuna na Zanzibar Kuna kuna na Zanzibar Alfajiri huwa ni kitendawili Nafikiri pindi tukiwa wawili Tena nakiri inanitesa mwili Bora tu niache Chacun pour soi eh, mélodie na nga Chacun chez soi eh Chacun pour soi eh, mélodie na nga Chacun pour soi eh (Chacun pour soi eh) Ukweli roho inasonona Tena moto hadi sijapona Ila naamini Mola ataniona Nitakuja pata wakuniponya Ila tu chonde Ma nikuombe Usiniseme vibaya Tena nakuombea kuongezewa Kwa Mola mwaya Alfajiri huwa ni kitendawili Nafikiri pindi tukiwa wawili Tena nakiri inanitesa mwili Bora tu niache (Nibaki mwenyewee) Chacun pour soi eh, mélodie na nga Chacun chez soi eh Chacun pour soi eh, mélodie na nga Chacun pour soi eh, aah chacun soi eh Chacun pour soi eh, mélodie na nga Chacun chez soi eh Chacun pour soi eh, mélodie na nga Chacun pour soi eh (Chacun pour soi eh) Tucheze rhumba Tena taratibu na mtumba Twapenda rhumba Wote na marafiki wa kunyumba Cheza rhumba (KINSHASA) Tobina rhumba (NAIROBI) Cheza rhumba (BRAZZAVILLE) Tobina rumba Cheza rhumba (ABIDJAN NA YAOUNDE) Tobina rhumba (NA COTONOU LOME) Mambi na mwana Africa Rhumba ya bana mboka
Writer(s): Daniel Koueloukouenda, Papa Wemba, Issaack Nasibu Abdul Juma Lyrics powered by www.musixmatch.com
instagramSharePathic_arrow_out