Lyrics

Jambo, jambo bwana Habari gani? Mzuri sana Wageni, wakaribishwa Kenya yetu, hakuna matata Jambo, jambo bwana Habari gani? Mzuri sana Wageni, wakaribishwa Kenya yetu hakuna matata Jambo, jambo bwana Habari gani? Mzuri sana Wageni, wakaribishwa Kenya yetu, hakuna matata Jambo, jambo bwana Habari gani? Mzuri sana Wageni, wakaribishwa Kenya yetu, hakuna matata Kenya nchi nzuri Hakuna matata Nchi ya maajabu Hakuna matata Nchi ya kupendeza Hakuna matata Kenya yetu (hakuna matata) Hakuna matata (hakuna matata) Nyote mwakaribishwa (hakuna matata) Jambo wote (hakuna matata) Wakenya wote (hakuna matata) Kila siku (hakuna matata) Hakuna matata (hakuna matata) Watu wote Kenya (hakuna matata) Oh-oh (hakuna matata) Eh-eh (hakuna matata) Kenya yetu (hakuna matata) Kenya nchi nzuri (hakuna matata) Nchi ya maajabu (hakuna matata) Nchi ya kupendeza (hakuna matata) Hakuna matata (hakuna matata) Kenya yetu (hakuna matata) Watu wetu (hakuna matata)
Writer(s): Damaso Perez Prado, Raymond Karl, Charlie Towne Lyrics powered by www.musixmatch.com
instagramSharePathic_arrow_out