Lyrics

Malaika, nakupenda Malaika Malaika, nakupenda Malaika Nami nifanyeje, kijana mwenzio Nashindwa na mali sina, we Ningekuoa Malaika Nashindwa na mali sina, we Ningekuoa Malaika yebah Pesa zasumbua roho yangu Pesa zasumbua roho yangu Nami nifanyeje, kijana mwenzio Nashindwa na mali sina, we Ningekuoa Malaika Nashindwa na mali sina, we Ningekuoa Malaika Kidege, hukuwaza kidege Ki-i-i Kidege, hukuwaza kidege Nami nifanyeje, kijana mwenzio Nashindwa na mali sina, we tchongili Ningekuoa Malaika Nashindwa na mali sina, we Ningekuoa Malaika Ningekuoa Malaika uhm-m-m Ningekuoa Malaika Ningekuoa Malaika-a-a-a-a-a
Writer(s): Fadhili William, William Fadhili Lyrics powered by www.musixmatch.com
instagramSharePathic_arrow_out