Top Songs By Daudi Kabaka
Similar Songs
Credits
PERFORMING ARTISTS
Daudi Kabaka
Performer
COMPOSITION & LYRICS
Daudi Kabaka
Composer
Lyrics
Nilikutana na Mulofa mmoja,
Alidanganya anatoka jela,
Aliniambia sina pesa ya chakula,
Nilikutana na Mulofa mmoja,
Alidanganya anatoka jela,
Aliniambia Sina pesa ya chakula.
(Instruments playing)
Nilisikia na huruma sana,
Nilitoa na shilingi tano,
Nikamwambia nenda ukale chakula.
Nilisikia na huruma sana,
Nilitoa na shilingi tano,
Nikamwambia nenda ukale chakula.
Kumbe uwongo alidanganya,
Nisiku nyingi ameshindwa kazi,
Anatafuta njia yakupatia chakula.
Kumbe uwongo alidanganya,
Nisiku nyingi ameshindwa kazi,
Anatafuta njia yakupatia chakula.
(Instrument playing)
Nilikutana na Mulofa mmoja,
Alidanganya anatoka jela,
Aliniambia sina pesa ya chakula.
Nilikutana na Mulofa mmoja,
Alidanganya anatoka jela,
Aliniambia sina pesa ya chakula.
Writer(s): Daudi Kabaka
Lyrics powered by www.musixmatch.com