Lyrics

Malaika, nakupenda Malaika Malaika, nakupenda Malaika Nami nifanyeje, kijana mwenzio Nashindwa na mali sina we Ningekuoa Malaika Nashindwa na mali sina we Ningekuoa Malaika Malaika, nakupenda Malaika Malaika, nakupenda Malaika Nami nifanyeje, kijana mwenzio Nashindwa na mali sina we Ningekuoa Malaika Nashindwa na mali sina we Ningekuoa Malaika Kidege, hukuwaza kidege Kidege, hukuwaza kidege Ningekuoa mali we, ningekuoa dada Nashindwa na mali sina we Ningekuoa Malaika Nashindwa na mali sina we Ningekuoa Malaika Malaika, nakupenda Malaika Malaika, nakupenda Malaika Nami nifanyeje, kijana mwenzio Nashindwa na mali sina we Ningekuoa Malaika Nashindwa na mali sina we Ningekuoa Malaika Pesaa! Zasumbua roho yangu Pesaa! Zasumbua roho yangu Ningekuoa mali wee! Ningekuoa dada Nashindwa na mali sina wee! Ningekuoa malaika Nashindwa na mali sina wee! Ningekuoa malaika Malaika, nakupenda Malaika Malaika, nakupenda Malaika Nami nifanyeje, kijana mwenzio Nashindwa na mali sina we Ningekuoa Malaika Nashindwa na mali sina we Ningekuoa Malaika Wimbo wimbo wimbo Wimbo wimbo wimbo Wimbo wimbo wimbo Wimbo wimbo wimbo Malaika, nakupenda Malaika Malaika, nakupenda Malaika Malaika, nakupenda Malaika Malaika, nakupenda Malaika Malaika, nakupenda Malaika Malaika, nakupenda Malaika
Writer(s): Traditional, Guenther Widemair Lyrics powered by www.musixmatch.com
instagramSharePathic_arrow_out