Texty

(The Mafic) Aaahiyaaa (O righty) Mapenzi ni safari ya wawili mi na wewe kimwana Dhairi tusifanye Siri, wajue twapendana Tuzae na mapacha wawili tuitwe baba mama Usisikize wanafiki majirani tukapalanganyana Na furahi mi nabonge la toto Navimba tukiwa mtoko Mi naye nikulwa nadoto Wanatetemeka eheeh Chumbani mafoto mafoto Jikoni mapocho mapocho Biryani makando makoko, mbona nanenepa heeee Siawezi ohoo siawezi Mapenzi ya kitoto siawezi Napenda vinono vikubwa mie Viduchu, viduchu, Siwezi Siawezi ohoo siawezi Mapenzi ya kushare siawezi hi-hii-hiii Zabwa zabwa oh (ah zabwa maaa zabwa maaa) Zabwaaaa eehee (ah zabwa maaa) mimi kwakwe zabwa Zabwa zabwa oh zabwa (zabwa, ah zabwa maa zabwa maaa) Zabwaaaa eehee, siuna pino lachungu kwake zabwa mie Hhmmm Ah! Shamba heka moja mi uwezo wakununua sina (aahaah sina) Ntakulisha chombeza na ugali wamuogo dinner (aahaah dinna) Nivumilie vaa midosho soon tutaenda China (China) Maradhi usijali na pambana nankufungulie bima Aii! Sitamani nikuache nanjaa Ukilia yangu zoa zoa Eh Naganga kusaka chapaaa, mama Eh Mmm! Kitandani wanipa raha Sitamani hata kuchomoa mama Naujanja wangu nakaa, HAMADAI Siawezi Ooh siawezi, mapenzi ya kitoto siawezi Mapenzi ya kushare mimi, haya yaiya yaiya yaiya yaiya (Zabwa zabwa) kwake zabwa mimi (oh, ah zabwa maaa) kwake mie iyeee (Zabwaaaa eehee) Mimi kwake zabwa (Zabwa Zabwa oh zabwa, ah zabwa maaa) (Zabwaaaa eehee) siuna ndimo la chungu Kwake zabwa mie iyee yeah yeah yeah yeah yeah Kwamhh
Writer(s): Hamad Hassan, Hamadai, Hamadi Saidi Hassan Lyrics powered by www.musixmatch.com
instagramSharePathic_arrow_out