Nejlepší skladby od interpreta Rayvanny
Podobné skladby
Kredity
PERFORMING ARTISTS
Mac Voice
Vocals
Rayvanny
Performer
COMPOSITION & LYRICS
Raymond Mwakyusa
Composer
Khamis Shaban Makalanga
Lyrics
PRODUCTION & ENGINEERING
Lizer Classic
Producer
Texty
Iyo lizer
Mwambieni
Nampenda
Bila yeye
Mi siwezi
Mwambieni
Nampenda
Bila yeye
Mi siwezi
Ati simtaji jina (Anajijua)
Fundi wa Raha zangu (Anajijua)
Kiboko yangu (Anajijua)
Sio mpaka niseme
Yule nina mpenda sana (Anajijua)
Roho yangu (Anajijua)
Mwenye moyo wangu (Anajijua)
Sio mpaka niseme
Kwanza tuanze rangi yake
Ah! Jamani ipo mwake
Natamani nione kopo lake
Amenunua wapi duka lake
Kisha tuje kwenye umbo lake ah!
Hapo lazima udate
Usije kutokwa mate
Mambo ya uturuki tuyaache
Maana mtoto kanawiri
Jaama
Kumuacha uwe jasiri
Saana
Nime shindwa kuwa bahiri
Mama
We nichune hadi kandambili
Sawa
Babe pose geuka freeze
Nipe tabasamu la picha cheese
You are so mwaaa, you are so cute
Kwako nime wehuka kabisa chizi
Mwambieni
Nampenda
Bila yeye
Mi siwezi
Mwambieni
Nampenda
Bila yeye
Mi siwezi
Ati simtaji jina (Anajijua)
Fundi wa Raha zangu (Anajijua)
Kiboko yangu (Anajijua)
Sio mpaka niseme
Yule nina mpenda sana (Anajijua)
Roho yangu (Anajijua)
Mwenye moyo wangu (Anajijua)
Sio mpaka niseme
Leo nawatambulisha
Mliokuwa hamjui
Hapa ndo nimetika mwenzenu
Shemeji yenu huyo
Kwake najibebisha
Usiku asubuhi
Tongonza tongoza ama zangu ama zenu
Shemeji yenu huyo
Ye ndo tiba ya mwili
Mama
Anituliza akili
Jama
Ma Ex mtasubiri
Sanaaa
Kumuacha sitikiriii
Oh oh
Pose Geuka Freeze
Nipe tabasamu la picha cheese
You are so mwaaa, you are so cute
Kwako nime wehuka kabisa chizi
Mwambieni
Nampenda
Bila yeye
Mi siwezi
Mwambieni
Nampenda
Bila yeye
Mi siwezi
Ati simtaji jina (Anajijua)
Fundi wa Raha zangu (Anajijua)
Kiboko yangu (Anajijua)
Sio mpaka niseme
Yule nina mpenda sana (Anajijua)
Roho yangu (Anajijua)
Mwenye moyo wangu (Anajijua)
Sio mpaka niseme
Writer(s): Raymond Mwakyusa, Siraju Amani, Khamis Makalanga
Lyrics powered by www.musixmatch.com