Credits
PERFORMING ARTISTS
Zabron Singers
Background Vocals
COMPOSITION & LYRICS
Zabron Singers
Songwriter
JAPHET ZABRON PHILIP
Songwriter
Marco Joseph Bukuru
Songwriter
Songtexte
[Verse 1]
Sio si bure eeh walaa si utani
Sio utani twaendelea
Tujeshi kubwa safarini pamoja
Njiani moja mpaka Jerusalemu
[Verse 2]
Safari yetu kamwe si bure
Tuna hakika na uzima, uzima
Maana tuwazao wa wauteule
Tumefanyika wana wa Mungu
Miliki safi tena ndani ya Yesu
Kusali kwetu kwa hakika si bure
[Chorus]
Sio, sio si bure kwa Yesu ni faida
Tuna sehemu ya kupeleka shida
Wema nazo fadhili zake zimetukuka
Ukimuona Yesu umeupata wokovu
Toka, toka juu kule Mungu hutazama
Aone kama kuna wamtafutao
Tafutane Mungu maana apatikana
Ukimuona Mungu umeupata uzima
[Chorus]
Sio, sio si bure kwa Yesu ni faida
Tuna sehemu ya kupeleka shida
Wema nazo fadhili zake zimetukuka
Ukimuona Yesu umeupata wokovu
Toka, toka juu kule Mungu hutazama
Aone kama kuna wamtafutao
Tafutane Mungu maana apatikana
Ukimuona Mungu umeupata uzima
[Verse 3]
Hatukatai kweli kuna vikwazo
Vitisho vingi kukatisha tamaa
Hatuogopi maana tuko na Yesu
[Verse 4]
Kusimamia safari yetu
Hakuna jambo gumu la kumshinda
Iwe ni kifo tena kwake ni mwisho
Mwisho wa yote ntaishi naye
Hapo ndio mwisho wa safari yetu
Maumivu kwisha habari yake
[Chorus]
Sio, sio si bure kwa Yesu ni faida
Tuna sehemu ya kupeleka shida
Wema nazo fadhili zake zimetukuka
Ukimuona Yesu umeupata wokovu
Toka toka juu kule Mungu hutazama
Aone kama kuna wamtafutao
Tafutane Mungu maana apatikana
Ukimuona Mungu umeupata uzima
[Chorus]
Sio, sio si bure kwa Yesu ni faida
Tuna sehemu ya kupeleka shida
Wema nazo fadhili zake zimetukuka
Ukimuona Yesu umeupata wokovu
Toka, toka juu kule Mungu hutazama
Aone kama kuna wamtafutao
Tafutane Mungu maana apatikana
Ukimuona Mungu umeupata uzima
Written by: JAPHET ZABRON PHILIP, Marco Joseph Bukuru

