Similar Songs
Credits
COMPOSITION & LYRICS
Papi Clever & Dorcas
Songwriter
Lyrics
Ameniwaka huru kweli
Naimba sasa "Haleluya"
Kwa msalaba nimepata
Kutoka katika utumwa
Ameniwaka huru kweli
Naimba sasa "Haleluya"
Kwa msalaba nimepata
Kutoka katika utumwa
Nimeokoka, nafurahi
Na dhambi zangu zimetoka
Nataka kumtumikia
Mwokozi wangu siku zote (oh)
Nimeokoka, nafurahi
Na dhambi zangu zimetoka
Nataka kumtumikia
Mwokozi wangu siku zote
Zamani nilifungwa sana
Kwa minyororo ya shetani
Nikamwendea bwana Yesu
Akaniweka huru kweli
Zamani nilifungwa sana
Kwa minyororo ya shetani
Nikamwendea bwana Yesu
Akaniweka huru kweli
Nimeokoka, nafurahi
Na dhambi zangu zimetoka
Nataka kumtumikia
Mwokozi wangu siku zote
Nimeokoka, nafurahi
Na dhambi zangu zimetoka
Nataka kumtumikia
Mwokozi wangu siku zote
Neema kubwa nilipata
Kuacha njia ya mauti
Na nguvu ya wokovu huo
Yanichukua siku zote
Neema kubwa nilipata
Kuacha njia ya mauti
Na nguvu ya wokovu huo
Yanichukua siku zote
Nimeokoka, nafurahi
Na dhambi zangu zimetoka
Nataka kumtumikia
Mwokozi wangu siku zote
Nimeokoka, nafurahi
Na dhambi zangu zimetoka
Nataka kumtumikia
Mwokozi wangu siku zote
Na siku moja nitafika
Mbinguni kwake Mungu wangu
Milele nitamhimidi
Na kumwimbia kwa shukrani
Na siku moja nitafika
Mbinguni kwake Mungu wangu
Milele nitamhimidi
Na kumwimbia kwa shukrani
Nimeokoka, nafurahi
Na dhambi zangu zimetoka
Nataka kumtumikia
Mwokozi wangu siku zote
Nimeokoka, nafurahi
Na dhambi zangu zimetoka
Nataka kumtumikia
Mwokozi wangu siku zote
Nimeokoka, nafurahi
Na dhambi zangu zimetoka
Nataka kumtumikia
Mwokozi wangu siku zote
Nataka kumtumikia
Mwokozi wangu siku zote
Nataka kumtumikia
Mwokozi wangu siku zote
Writer(s): Alvin Handro, Papi Clever
Lyrics powered by www.musixmatch.com