가사

Aah mmmh mmmh Ah unaringa umepima? Aii utajiji Huu mwaka utachina Si ulileta unyang'au Ukaukwi kunitishia Unaondoka unaondoka Kama daladala za Kariakoo Inatoka inatoka Hadharani unanisusia Kuropoka ropoka Ama domo lako shimo la choo Yanakutoka Na kwa taarifa yako siwezi kuanguka Maana nishapata pa kuegemea Mmmmh napendwa, Na sio kwa ninavyojidekea Hulka yako ya pupa, Mwenzako ananinyenyekea Oooh kutendwa Nakusikia kwenye bomba Na tena naenjoy Mpa ka raha mpaka Natakatishwa Mpa ka raha mpaka Anipaga kutwa mara tatu Mpa ka raha mpaka Naogeshwa nakandwa Mpa ka raha mpaka Na tena naenjoy Napenda akinipa Akinipa migandisho Kama anapigwa shoti Akisakata migandisho Na kama mapenzi Roho yake bahari Huu muda naelea Maana nishazamaga Nishakufa mzoga Na kama penzi melody kali Mi kwake ndo burudani Wala sidhani ka Ataridhika kunikosa Na kwa taarifa yako siwezi kuanguka Maana nishapata pa kuegemea Mmmmh napendwa, Na sio kwa ninavyojidekea Hulka yako ya pupa, Mwenzako ananinyenyekea Oooh kutendwa Nakusikia kwenye bomba Na tena naenjoy Mpa ka raha mpaka Natakatishwa Mpa ka raha mpaka Anipaga kutwa mara tatu Mpa ka raha mpaka Naogeshwa nakandwa Mpa ka raha mpaka Na tena naenjoy
Writer(s): Marioo Mwanga Lyrics powered by www.musixmatch.com
instagramSharePathic_arrow_out