Topsongs van Bony Mwaitege
Vergelijkbare songs
Credits
PERFORMING ARTISTS
Bonny Mwaitege
Performer
COMPOSITION & LYRICS
Bonny Mwaitege
Songwriter
Boniphace Patson Mwaitege
Composer
Songteksten
Injili inahubiriwa unaikata
Unakunja midomo wahubiri unawadharau
Yale wanayosema Watumishi wa Mungu unayapuuza na kuona hayana maana
Siku zinakuja mbaya sana Mbele yako
Maandiko yanasema neno litatoweka
Siku zinakuja mbaya mbele yako
Hao wahubiri hautawaona tena
Wachungaji unaowaona kila siku
Siku zinakuja hautawaona tena
Wakati huo Yesu atakuwa kanyakuwa kanisa lake
Utawatafuta kote hautawaona tena
Mikutano ya injili unayoiona kila kona
Utaitafuta kote hautaiona tena
Siku zinakuja mbaya bora uokoke mapema
Ukichelewa neema itatoweka
Utalitafuta neno hautaliona
Utatamani kuokoka haitawezekana
Utalitafuta neno hautaliona
Utatamani kuokoka haitawezekana
Siku zinakuja jamaa
Utalitafuta neno hautaliona
Utatamani
Utatamani kuokoka haitawezekana
Siku zinakuja mbele yako
Utalitafuta neno hautaliona
Utatamani sana
Utatamani kuokoka haitawezekana
Utakwenda makanisani mama
Utalitafuta neno hautaliona
Utatamani sana
Utatamani kuokoka haitawezekana
Utakwenda milimani mama
Utalitafuta neno hautaliona
Huku machozi yakikutoka
Utatamani kuokoka haitawezekana
Ooh!
Ooh!
Eeh!
Mpokee Bwana Yesu maadamu anapatikana
Ukubali wokovu maadamu neema ipo
Ukichelewa ndugu yangu nakuambia Utakuja kujuta
Utafananishwa na kizazi cha Nuhu
Nuhu aliposema tujenge safina watu walicheka
Baadaye walimkumbuka Nuhu
Asira ya Bwana iliposhuka
Walimtafuta Nuhu hawakumwona tena
Hivyo itakavyo kuwa kwako wewe unaye ghairi neno leo
Utalitafuta neno hautaliona
Utatamani kuokoka haitawezekana nakwambia
Utalitafuta neno hautaliona
Utatamani kuokoka haitawezekana
Siku zinakuja mbaya we
Utalitafuta neno hautaliona
Utatamani mama
Utatamani kuokoka haitawezekana
Siku zinakuja mbele
Utalitafuta neno hautaliona
Utatamani sana
Utatamani kuokoka haitawezekana
Utakwenda makanisani mama, baba we
Utalitafuta neno hautaliona
Utatamani sana
Utatamani kuokoka haitawezekana
Misikitini na makanisani
Utalitafuta neno hautaliona
Utatamani
Utatamani kuokoka haitawezekana
Utakwenda milimani na mabondeni
Utalitafuta neno hautaliona
Utatamani sana
Utatamani kuokoka haitawezekana
Machozi yatakutoka sana
Utalitafuta neno hautaliona
Utatamani
Utatamani kuokoka haitawezekana
Eeh!
Aah!
Siku zinakuja mbele
Utalitafuta neno hautaliona
Utatamani mama
Utatamani kuokoka haitawezekana
Siku zinakuja mbele
Utalitafuta neno hautaliona
Utatamani mama
Utatamani kuokoka haitawezekana
Siku zinakuja mbele
Utalitafuta neno hautaliona
Utatamani mama
Utatamani kuokoka haitawezekana
Writer(s): Boniphace Mwaitege
Lyrics powered by www.musixmatch.com