Letra

Mmi huweka weka pesa kwenye banki Kisha nacheka Utadhani ni Na niko maji Utadhani mi ni tanki Macho nyekundu Nimegeuza karangi Unanijua ujinga mi sitakangi Unanijua track mi huwa naua Mi ni kammea utadhani mi maua Jina kubwa utadhani unanijua So kikundi serikali Basi nani ana swali Yaani ngoma ingine kali Yaani tamu kama asali So mi huweka watoto mi naweka Niko tribeka niko gauge tu nawaka Nataka kuteka kisha niingie kileja tu kuweka weka Weka weka tena sana Najifanya nimedoze kumbe naongezanga doze Asubuhi ikifika narudi tu pale pale juuu Weka weka weka weka weka weka Tena sana Tunaweka weka weka weka weka weka tena sana Bunganya mi ni beshte ya kuruaa. Nina mapesa nimejaza kwenye wolenje Kuna msupa amepoteza makibenje Nina kitu kwenye boxer kakonje Kuna kale kabaruta pia kakwenje Hunakawekanga sana Hivo ndo huwanga nafanya Huwanga nawakusanya Wananiitanga bunganya Nabadilika kama camillion tubonge Nasema tubonge Acha nigonge Wanasema ninabore Wanasema sina doh Checki after evry show nawakopeshanga doh Namafans wanasema buga umeua show Hawa mafala hakuna kitu wanaezanga nishow Niko fiti djow Niko fiti kidoh Wanacheza ligi ndogo mmi nacheza ligi soo Mi napenda zile vitu hukipenda big so So weka weka weka weka weka Weka weka weka weka tena sana Tunaweka weka weka weka weka Weka weka weka weka weka tena sana 3 Ni yule kijana mbaya zaidi Mistari gaidi Nararua hizi tracks ile mbaya zaidi Hukipenda hukipenda majina zaidi African doctor Yule headmaster Ninaweka zaidi Ninaweka weka yaani ile wega wega Nikisonga mbele bado wanaboeka boeka BonEye weka.akibend weka Akijipa kama kawa nafyeka fyeka Mi napiga piga hadi inatetemeka Ikitetemesha basi nami natetemesha Tunaweka weka hey hakuna pressure Mi naweka weka yaani naongeza mbesha Niitange deadry Mtoto shekury Hukitakanga kucheza mi nacheza safery Stay ready gentry everyday Weka weka weka weka weka Tunaweka weka weka weka weka tena sana x3
Writer(s): Michael Githuka Lyrics powered by www.musixmatch.com
instagramSharePathic_arrow_out