Lyrics

Tumebarikiwa na Mwenyezi Mungu Hatuna hofu katika safari Shida na matatizo hazitanitisha Sina mashaka nimebarikiwa Tumebarikiwa na Mwenyezi Mungu Hatuna hofu katika safari Shida na matatizo hazitanitisha Sina mashaka nimebarikiwa Tumebarikiwa na Mwenyezi Mungu Hatuna hofu katika safari Shida na matatizo hazitanitisha Sina mashaka nimebarikiwa Ninakaza mwendo sitarudi nyuma Furaha ya ulimwengu haitanivuta tena Ninakaza mwendo sitarudi nyuma Furaha ya ulimwengu haitanivuta tena Uko mbele kuna matunda ya uzima Uko mbele kuna matunda ya uzima Uko mbele kuna matunda ya uzima Uko mbele kuna matunda ya uzima Ninakaza mwendo sitarudi nyuma Furaha ya ulimwengu haitanivuta tena Ninakaza mwendo sitarudi nyuma Furaha ya ulimwengu haitanivuta tena Uko mbele kuna matunda ya uzima Uko mbele kuna matunda ya uzima Uko mbele kuna matunda ya uzima Uko mbele kuna matunda ya uzima Usife moyo ujitahidi uko mbele kuna matunda ya uzima. Usife moyo ujitahidi uko mbele kuna matunda ya uzima. Uko mbele kuna matunda ya uzima
Lyrics powered by www.musixmatch.com
instagramSharePathic_arrow_out