Lyrics

Tazameni, tazameni, alivyofaanya Kijiti Tazameni, tazameni, alivyofaanya Kijiti Kumchukua mgeni, kumchezesha foloki Kumchukua mgeni, kumchezesha foloki K'enda nae Maguguni, kamrejesha maiti K'enda nae Maguguni, kamrejesha maiti Kamrejesha maiti, kamrejesha maiti Kamrejesha maiti, kamrejesha maiti K'enda nae Maguguni, kamrejesha maiti K'enda nae Maguguni, kamrejesha maiti Kijiti alin'ambia ondoka mama twenende Kijiti alin'ambia ondoka mama twenende Laiti ningelijua, ningekataa nisiende Laiti ningelijua, ningekataa nisiende Kijiti unaniua kwa pegi moja ya tende Kijiti unaniua kwa pegi moja ya tende Kwa pegi moja ya tende, kwa pegi moja ya tende Kwa pegi moja ya tende, kwa pegi moja ya tende Kijiti unaniua kwa pegi moja ya tende Kijiti unaniua kwa pegi moja ya tende Jagiene akasirika, kitini alipoketi (ah) Jagiene akasirika, kitini alipoketi Kasema, "Blood fool, mashaidi wa Kijiti" Kasema, "Blood fool, mashaidi wa Kijiti" "N'takufunga Suma Idd na KBT Subeti" "N'takufunga Suma Idd na KBT Subeti" Na KBT Subeti, na KBT Subeti Na KBT Subeti, na KBT Subeti "N'takufunga Suma Idd na KBT Subeti" "N'takufunga Suma Idd na KBT Subeti" (ah, hey)
Lyrics powered by www.musixmatch.com
instagramSharePathic_arrow_out