Şarkı sözleri

Nilipokulea mwanangu ulileleka Leo ushapata wako mwanangu Unaondoka leo. Nilipokulea mwanangu ulileleka Leo umepata wako mwanangu unaondoka Nasema nilipokulea mwanangu ulileleka Leo ushapata wako mwanangu Unaondoka leo Nilipokulea mwanangu ulileleka Leo umepata wako mwanangu unaondoka Mama leo umepata wako Mwanangu unaondoka eeeh Mama kaanze maisha yako Mwanangu unaondoka eeeh Mama kawatunze wakwe zako Mwanangu naondoka eeeh Mama kampende mume wako Mwanangu naondoka eeeh Boga ulilolipenda mwanangu lipende na ua lake Bwana uliyempenda mwanagu upende na ndugu zake Lolote likikushinda mwanangu uende kwa Wazazi wake Nilipokulea mwanangu ulileleka Leo umepata wako mwanangu unaondoka eeeh Aaaah... boga ulilolipenda mwanangu ulipende na ua lake Mtu uliyempenda mwanangu mpende na ndugu zake Lolote likikushinda mwanangu uende kwa wazee wake Nilipokulea mwanangu ulileleka Leo umepata wako mwanangu unaondoka eeeh Mama leo umepata wako Mwanangu unaondoka eeeh Dada yaanze maisha yako Mwanangu naondoka eeeh Mama kampende mume wako Mwanangu naondoka eeeh Dada kampe mapenzi yake Mwanangu naondoka eeeh Haya yote ni maisha mwanangu na wewe kajitahidi Yasije kubabaishi mwanangu ukuje kuwa huna budi Mgawie visokwisha mume wako umzidishe hundi Nilipokulea mwanangu ulileleka Leo umepata wako mwanangu unaondoka Nasema yote ni maisha nawe mwanangu kajitahidi Yasije kubabaisha mwanangu ukuje kuwa huna budi Mgawie visokwisha mume wako umzidishe mdadi Nilipokulea mwanangu ulileleka Leo umepata wako mwanangu unaondoka eeeh Mama leo umepata wako Mwanangu umeondoka eeeh Mama kaanze maisha yako. Mwanangu unaondoka eeeh Mama kawapende wakwe zako. Mwanangu unaondoka eeeh Mama kampende mume wako. Mwanangu unaondoka eeeh Kuna videge viwili mwanangu vitakuja na tishio Vitajiletajileta kwa njia ya matamanio Jua raha ya mapenzi mwanangu kalale na mumeo Nilipokulea mwanangu ulileleka Leo umepata wako mwanangu unaondoka eeeh Nasema kuna ndege wawili mwanangu watakuja na tishio Watakufuatakufuata kwa njia ya matamanio Jua raha ya mapenzi mwanangu ulale na mumeo Nilipokulea mwanangu ulileleka Leo umepata wako mwanangu unaondoka eeeh Mama leo umepata wako. Mwanangu umeondoka eeeh Mama kaanze maisha yako Mwanangu naondoka eeeh Mama kampende mume wako. Mwanangu unaondoka eeeh Mama utunze heshima yako. Mwanangu unaondoka eeeh Mama leo umepata wako. Mwanangu unaondoka eeeh Mama kaanze maisha yako. Mwanangu unaondoka eeeh Mama kampende mume wako Mwanangu unaondoka eeeh Fika salama salama Fika salama salama Nenda salama mwanangu salama Nenda salama salama Tutaonana tena Mungu akipenda Fika salama salama Kwa uwezo wa... Fika salama salama Fika salama salama Fika salama salama Kweupe kule pwani kweupe kuna madege Kweupe kule pwani kweupe kuna madoa Kweupe kule pwani kweupe kuna madoa Kweupe kule pwani kweupe kuna madoa kweupe Kweupe kule pwani kweupe kuna madege Kweupe kule pwani kweupe kuna madoa kweupe Kweupe kule pwani kweupe kuna madoa Kweupe kule pwani kweupe kuna madoa kweupe Kweupe kule pwani kweupe kuna njiwa Kweupe kule pwani kweupe kuna madoa kweupe Nenda salama salama Nenda salama salama Nenda salama mwanangu salama Nenda salama salama Mama leo umepata wako. Mwanangu unaondoka eeeh Mama kaanze maisha yako. Mwanangu unaondoka eeeh Mama kampende mume wako. Mwanangu unaondoka eeh Mama utunze heshima yako. Mwanangu unaondoka eeeh Mama leo umepata wako. Mwanangu unaondoka eeeh Mwanangu unaondoka eeeh Mama kaanze maisha yako. Mwanangu unaondoka eeeh Mama kampende mume wako. Mwanangu unaondoka eeh Mama utunze heshima yako. Mwanangu unaondoka eeeh
Writer(s): Omary Kopa Lyrics powered by www.musixmatch.com
instagramSharePathic_arrow_out