制作
出演艺人
Maua Sama
表演者
作曲和作词
Maua Sama
作曲
歌词
(B-records material, baby)
Oh, yeah, yeah
Yeah, yeah, yeah, yeah
Pole pole usiniibie penzi ya habibi (bi-bi)
Mwanzo mwisho nitabaki na wewe kipenzi, yeah, yeah
Gimme gimme love my baby, touch me like this (oh-ooh, whoa)
Everyday I feel faith kuwa nawe yeye, iye
You got me up high
Unanipa kile nataka nafurahi, yeah
Uwatoe nishai
Wote waliotaka mi' na we' tuachane
And I feel alive
Ulikuwa wapi all the time, yeah
Mpenzi usiogope fame
Dunia yetu mi' na we'
Tuwe wote kila sehemu, yeah, yeah, eh, yeah, iye
I wanna be your main chick, nakupenda (nakupenda)
I wanna be your main chick, nakupenda (nakupenda)
Oh, let me be the main chick, nakupenda (nakupenda)
I wanna be your main chick, nakupenda
Penda, oh, ya
(Eh, yeah)
Hey (oh, yeah)
Nakupa jina we' ndo' mume wangu
We' ni nyongo mkalia ini langu
Nafsi yangu imeridhia, sitokimbia
Nitazikwa na wewe (yeah, yeah)
Pole pole usininyime penzi laazizi
Tujinome raha ya mapenzi tufurahi
You got me up high
Unanipa kile nataka nafurahi, yeah
Uwatoe nishai
Wote walotaka mi' na we' tuachane
And I feel alive
Ulikuwa wapi all the time
Mpenzi usiogope fame
Dunia yetu mi' na we'
Tuwe wote kila sehemu, yeah, yeah, eh, yeah, iye
I wanna be your main chick, nakupenda (nakupenda)
I wanna be your main chick, nakupenda (nakupenda)
Oh, let me be the main chick, nakupenda (nakupenda)
I wanna be your main chick, nakupenda
Penda, oh, ya
(Eh, yeah)
(Oh, yeah, yeah, yeah-yeah)
Writer(s): Chris Brown, Dijon Mcfarlane, Brian Collins, Glenda Proby
Lyrics powered by www.musixmatch.com