音乐视频
Mbuzi Gang 的热门歌曲
类似歌曲
制作
出演艺人
Mbuzi Gang
表演者
作曲和作词
Joseph Nyamwea
词曲作者
Mike Makori
词曲作者
Moses Otieno
词曲作者
制作和工程
Peter Ochieng Otieno
制作人
歌词
London, London
The baddest
(It's Your favourite boy)
Kashkeed on the Track
Mi mang'aa napenda life
Napenda dem anajidai ati amevai
Kama ni looku piga white ni kama amedye
Ako machingri mangwai na beer lite
Uuuuuh kukata maji ni sheria (Aiyayaya)
Warukera inama chuchumia (Ala)
Hio ni mwiko si miwa umekalia
Ni sherehe na haitaki masheria, sheria
Nadai mucome, kuna sha Nadia Mukami
Sheria lazima mfuate ju ya serikali
Askari sura yake wavy ka ya Khali
Kali-Sa lazima ufuate kodi
Sarkodie bash hatuwezi get cosy
Corona, corona tulishikiwa kwa kona
Na mbona unaendesha ni kama uko na cholera
Afande sa
Sheria pia ni wera
Kukata maji mnajifanya Musa
Nanusa watoi mliomba nani ruhusa
Kipusa this time tulibeba Jovial
Mbuzi ndio rende hatutaacha za ovyo
Mi mang'aa napenda life
Napenda dem anajidai ati amevai
Kama ni looku piga white ni kama amedye
Ako machingri mangwai na beer lite
Uuuuuh kukata maji ni sheria (Aiyayaya)
Warukera inama chuchumia (Ala)
Hio ni mwiko si miwa umekalia
Ni sherehe na haitaki masheria, sheria
Nakata maji nasambuka, nikibleki nazinduka
Shetani amepanda jini mkata kamba, serikali inapindua
Mi ndo kiboko yao, wakisleki tunapita nao
Tena haina kuchao, yaani uuh, baby we ndo mama yao
Afande pita ndani yaani we chuma ina lala ndani
Shamra shamra za kibabi, uuh we enjoy the party
Tunapiga sherehe yaani mpaka kuche
Tunapiga sherehe yaani mpaka kuche
Mi mang'aa napenda life
Napenda dem anajidai ati amevai
Kama ni looku piga white ni kama amedye
Ako machingri mangwai na beer lite
Uuuuuh kukata maji ni sheria (Aiyayaya)
Warukera inama chuchumia (Ala)
Hio ni mwiko si miwa umekalia
Ni sherehe na haitaki masheria, sheria
Kata maji you can't bwogo me
Gidigidi maji maji can't koro me
Thobo thobo kumguza chobo
Ashaskiza utamu hadi kisogo
Kukata maji ni sheria
But mbona sa unamix Konyagi
Ndani ya chang'aa Fathermore
Unakataje maji na haujadishi
Fisi mimi bleki dem yako mi nadishi
Na kama ni vegeteriana bado atakula njiti
Nikiwa deep end deep end
Si na depend depend
Bars kibao sa itabidi umenikunywa
Na ka hujaput hii si utabidi umejichuna
Mi mang'aa napenda life
Napenda dem anajidai ati amevai
Kama ni looku piga white ni kama amedye
Ako machingri mangwai na beer lite
Uuuuuh kukata maji ni sheria (Aiyayaya)
Warukera inama chuchumia (Ala)
Hio ni mwiko si miwa umekalia
Ni sherehe na haitaki masheria, sheria
Tunapiga sherehe yaani mpaka kuche
Tunapiga sherehe yaani mpaka kuche
Tunapiga sherehe yaani mpaka kuche
Tunapiga sherehe yaani mpaka kuche
(Black Market Records)
Writer(s): Mike Makori, Joseph Getugi Nyamweya
Lyrics powered by www.musixmatch.com