制作

出演艺人
Israel Mbonyi
Israel Mbonyi
表演者
作曲和作词
Israel Mbonyi
Israel Mbonyi
编曲
制作和工程
Israel Mbonyi
Israel Mbonyi
制作人

歌词

[Verse 1]
Kutakuwa milima haitaondolewa
Kutakuwa na mito na sitaweza kuvuka
Sio kila ombi litajibiwa nipendavyo
Sio kila wimbo utakaotuliza moyo
Nimekupata, nina mtetezi
Unionyeshe njia zako
Nikujue
[Chorus]
Ikiwa nimepata neema kwako, unikumbuke
Jicho lako liwe juu yangu nyakati zote
Wema wako unisindikize hadi tamati
[Chorus]
Hili ni ombi langu, nakumwagia moyo
Ninachoomba kaa nami
Ikiwa nimepata neema kwako
[Verse 2]
Kutakuwa milima haitaondolewa
Kutakuwa na mito na sitaweza kuvuka
Sio kila ombi litajibiwa nipendavyo
Sio kila wimbo utakaotuliza moyo
Nimekupata, nina mtetezi
Unionyeshe njia zako
Nikujue
[Chorus]
Ikiwa nimepata neema kwako, unikumbuke
Jicho lako liwe juu yangu nyakati zote
Wema wako unisindikize hadi tamati
[Chorus]
Hili ni ombi langu, nakumwagia moyo
Ninachoomba kaa nami
Ikiwa nimepata neema kwako
[Chorus]
Ikiwa nimepata neema kwako, unikumbuke
Jicho lako liwe juu yangu nyakati zote
Wema wako unisindikize hadi tamati
[Chorus]
Hili ni ombi langu, nakumwagia moyo
Ninachoomba kaa nami
Ikiwa nimepata neema kwako
[Verse 3]
Kumbuka hayo mema niwaombeayo
Wanaonifurahia
Maadui zangu nao, uwape kukujua
[Verse 4]
Uwabaliriki kwa utele
Uwanyeshee mvua
Yamkini watapata kuona
Wapumue upendo
[Verse 5]
Tunaoshiriki hii huduma
Uwape uamsho
Uwabaliriki kwa utele
Baba wala-hi-sishie
[Verse 6]
Tunaoshiriki hii huduma
Uwape uamsho
Uwabaliriki kwa utele
Baba wala-hi-sishie
[Verse 7]
Kumbuka hayo mema niwaombeayo
Wanaonifurahia
Maadui zangu nao, uwape kukujua
[Verse 8]
Uwabaliriki kwa utele
Uwanyeshee mvua
Yamkini watapata kuona
Wapumue upendo
[Verse 9]
Tunaoshiriki hii huduma
Uwape uamsho
Uwabaliriki kwa utele
Baba wala-hi-sishie
[Verse 10]
Tunaoshiriki hii huduma
Uwape uamsho
Uwabaliriki kwa utele
Baba wala-hi-sishie
[Chorus]
Ikiwa nimepata neema kwako, unikumbuke
Jicho lako liwe juu yangu nyakati zote
Wema wako unisindikize hadi tamati
[Chorus]
Hili ni ombi langu, nakumwagia moyo
Ninachoomba kaa nami
Ikiwa nimepata neema kwako
[Chorus]
Ikiwa nimepata neema kwako, unikumbuke
Jicho lako liwe juu yangu nyakati zote
Wema wako unisindikize hadi tamati
[Chorus]
Hili ni ombi langu, nakumwagia moyo
Ninachoomba kaa nami
Ikiwa nimepata neema kwako
[Verse 11]
Kwa maswali na majibu
Umasikini utajiri
Usumbufu utulivu
Ewee Mwokozi kaa nami
[Verse 12]
Kwa kupanda kwa kushuka
habari za kuvunja moyo
Kwa uzushi na uongo
Ewee Mwokozi kaa nami
[Verse 13]
Kwa maswali na majibu
Umasikini utajiri
Usumbufu utulivu
Ewee Mwokozi kaa nami
[Verse 14]
Kwa kupanda kwa kushuka
Habari za kuvunja moyo
Kwa uzushi na uongo
Ewee Mwokozi kaa nami
[Chorus]
Kwa maswali na majibu
Umasikini utajiri
Usumbufu utulivu
Ewee Mwokozi kaa nami
[Verse 15]
Kwa kupanda kwa kushuka
Habari za kuvunja moyo
Kwa uzushi na uongo
Ewee Mwokozi kaa nami
[Chorus]
Ikiwa nimepata neema kwako, unikumbuke
Jicho lako liwe juu yangu nyakati zote
Wema wako unisindikize hadi tamati
[Chorus]
Hili ni ombi langu, nakumwagia moyo
Ninachoomba kaa nami
Ikiwa nimepata neema kwako
[Chorus]
Hili ni ombi langu, nakumwagia moyo
Ninachoomba kaa nami
Ikiwa nimepata neema kwako
Hili ni ombi langu, nakumwagia moyo
Ninachoomba kaa nami we
Ikiwa nimepata neema kwako
[Chorus]
Hili ni ombi langu, nakumwagia moyo
Ninachoomba kaa nami
Ikiwa nimepata neema kwako
[Chorus]
Hili ni ombi langu, nakumwagia moyo
Ninachoomba kaa nami
Ikiwa nimepata neema kwako
[Chorus]
Hili ni ombi langu, nakumwagia moyo
Ninachoomba kaa nami
Ikiwa nimepata neema kwako
Written by: Israel Mbonyi
instagramSharePathic_arrow_out

Loading...