Harmonize 熱門歌曲
積分
出演艺人
Harmonize
表演者
Q Chilla
表演者
Bonga
表演者
作曲和作词
East African Hits
词曲作者
制作和工程
Bonga
制作人
歌詞
Aah tunaanza upya sasa
Just beginning Chilli,
Konde Boy
Yaani Chilla na Konde Boy
Aaah,
Mola anakupa astahili
Hakupi unachotaka
Ndio maana nimetulia
Nakukabidhi mtima
Naridhi kifungu mbili
Kukosa nakupata
We unanivumilia
Ata nikiwa sina
Ninajua wapo
Walosema hunifai
Eti hatuendani
Wanajichosha na kujipa taabu
Oooh wapo walosema
Umetoka na maasai
Tena hadharani wakapotosha
Umedu na mwarabu
Ila mi ndo nishapenda, nishapenda Sioni sisikii
Siku zinakwenda, zinakwenda
Sing'oki kisiki
Oooh nishapenda, nishapenda
Sioni sisikii
Siku zinakwenda, zinakwenda
Aki sing'oki kisiki, msijipe taabu
My boo, my boo, my boo
Oooh lala lalala my boo
My boo, my boo, my boo
Oooh lala lala my boo
Hawapendi kuniona na wewe
Eti nimekaa nimechill na wewe Wanatamani niwe nimekwisha
Ooh lalalala wakuchukue kabisa(Eeeh) (Hahaha, Love is sweet oh)
Ah! Nyie mafundi wa kuchamba Mnafanya kazi ya kanisa
Ridhiki haivutwi kwa kamba
Na wa kumi hapatagi tisa
Mwenzenu fundi wa kulamba
Tena anameza kabisa
Sio kama najigamba
Ila mbali ninamfikisha eeh
Ndio maana
Ananiganda ganda kama pochi Ananiganda(Ndio maana)
Nampanda panda kama kochi Nampanda
Mi najua wapo
Walosema we hunifai
Eti hatuendani
Wanajichosha na kujipa taabu
Oooh wapo walosema
Umetoka na maasai
Tena hadharani wakapotosha
Umedu na mwarabu
Ila mi ndo nishapenda, nishapenda Sioni sisikii
Siku zinakwenda, zinakwenda
Sing'oki kisiki
Oooh nishapenda, nishapenda
Sioni sisikii
Siku zinakwenda, zinakwenda
Aki sing'oki kisiki, msijipe taabu
My boo, my boo, my boo
Oooh lalalalala my boo
My boo, my boo, my boo
Oooh lalalalala my boo
Hawapendi kuniona na wewe
Eti nimekaa nimechill na wewe Wanatamani niwe nimekwisha
Ooh lalalala wakuchukue kabisa(Eeeh) Zuzuzu, zunguka waone
Zuzuzu, zunguka waone
Yii, asa zungusha body
Zuzuzu, zunguka waone
Kwani unadaiwa kodi?
Zuzuzu, zunguka waone
Oooh lele, Konde Boy
Ananiganda ganda kama pochi Ananiganda(Ndio maana)
Nampanda panda kama kochi Nampanda Ooh my God its Spencer
Writer(s): Carlton Mahone, Rodney Terry
Lyrics powered by www.musixmatch.com