Interview
7,974
Hip-Hop/Rap
Interview 由 Bongo Records Ltd 於 2022年5月20日發行,收錄於專輯《 》中To The Top, Vol. 1 - EP
旋律
歌曲有多麼清晰易記且符合明確音樂模式的旋律。通常,旋律分明的作品會擁有清晰易記的器樂或人聲主線。
原聲音質
此指標衡量一首歌曲在多大程度上依賴原聲樂器 (例如鋼琴、吉他、小提琴、鼓、薩克斯風),而非電子或數位合成音效
Valence
歌曲透過和聲與節奏所傳達的音樂積極性或情感基調。數值高通常對應快樂、興奮或愉悅感,數值低則與悲傷、憤怒或憂鬱相關。
節奏感
綜合了節拍穩定性、節奏型態與重拍強度等多重因素,以判定一首歌曲適合跳舞的程度。一首「節奏感強」的歌曲,通常具備穩定的速度、重複的音樂結構與明顯的強拍。
輕快
曲目的律動感可能受節奏快慢、音量起伏與聲譜密度所影響。較輕快的歌曲通常節奏強勁,編曲豐滿;反之,不太輕快的歌曲則可能編曲簡約、節奏較慢。
BPM95
音樂影片
音樂影片
積分
演出藝人
Rapcha
演出者
詞曲
Cosmas Paul Mfoy
詞曲創作
Justin John Mhagachi
詞曲創作
製作與工程團隊
Justin John Mhagachi
製作人
歌詞
[Intro]
Asubuhi flani hang over bwii
Nani tena huyu ananipigia saa hii
Napapasa kuitafuta simu mpaka naikamata
Macho kwenye screen naona jina "GACHI B"
[Verse 1]
We mshezi una balaa hatari
Sjui zilikua ni tungi au vijiti walimix wale
Uliwaka ukavamia dem wa mtu ukamshika shika
Na ukawa unaforce kumkiss eti palepale
[Verse 2]
Nlijua lazma utani-roast
Sjawahi waka vile mpaka ikatokea hadi data zime-lost
Mchizi alinitwika ngumi bufff kwenye mdomo
Yani nkahisi nmepoteza meno yote on the spot
[Verse 3]
Usingeweza kutoboa pale
Ilibidi ncheki gap tuchomoke tukimbie mbali
Nlikudrop kwako ukanambia nkushtue mapema
Una interview ya kazi leo katafte ugali
[Verse 4]
Ayaa nahisi nshachelewa
Duhh mchongo bado nusu saa nkichelewa hawatonielewa
Umetisha kunishtua acha niwahi chap nkawaskie
Nikitoka ntadondoka studio
[Verse 5]
Mswaki dakika moja, kuoga dakika moja
Suruali ya kitambaa imejikunja na iko moja
Ila haya yote ningeandaa tangu jana isingekua kazi fresh
Nitanyoosha daika moja
[Verse 6]
Naboost simu isinizimikie nkiwa njiani
Muda unaenda sana sa inabidi ntoke ndani
Navaa chap uber njoo nifate sinza vatcani
Sina muda wakuelekeza fata ramani
[Verse 7]
Dakika mbili uber akafika
Madevera smart kama wewe mjini ndo wanahitajika
Skia nirushe chap posta pale 99
Plaza ntakuongeza buku 5 tukiwahi kufika
[Verse 8]
Palepale kwanza dreva kawaka
Aah leo ka bahati yani mzee wa lissa nimekunyaka
Hivi kwenye ule wimbo ulipigwa kweli?
Sioni hata makovu na ile story vipi ishakukuta kweli!??
[Verse 9]
Sasa hapa ndo tutapochelewa
Focus yako iwe kwenye kuniwahisha na sio kuongea
Mgenilipa kama mnavyonisifia
Saivi nsingekua busy kutafuta kazi nisiyoielewa
[Verse 10]
Hii ndo shida ya wasanii Bongo
Mbele ya camera wapole sana na kujisifia uongo
Mnasema mnatupenda mashabiki
Ila tunapokutana mnatutreat kama vile tunanuka shombo
[Verse 11]
Na ndo shida ya mashabiki wa Bongo
Mnapenda tu kupuuzia ukweli na kuamini uongo
Mnasahau ka na si ni binadamu kuna muda tuna stress zetu mtuvumilie kidogo
Haya muda unaishia afu bado kuna umbali
[Verse 12]
Nikamlipa dreva nikashuka kwenye gari
Pss pss boda niwahishe posta chap tu
Zimebaki dakika 5 ufike muda wa interview
Mbio mbio mpaka destination
[Verse 13]
Zimebaki dakika mbili tu afu mchiz ndo naingia reception
Dada wa mapokezi akafurahi aliponiona
Si akataka alete story nkaona ananichoma
Sasa nkiwa palepale reception
Najibizana huyu sista, haki nimechoshwa na questions
Wakaingia watu wawili ndani
Yule dada alivyowasalimia ikabidi nkae attention
[Verse 14]
Nageuka nione kuna nani
Ndo namuona yule dada ambae jana nilimfata nkamletea uhuni
Pembeni yake kaongozana na mumewe alieyataka kunitoa meno na ndio boss wa kampuni
Ilinichukua ka nusu sekunde kukumbuka ule uzito wa ile ngumi kwenye lile tukio
Nkakamata bahasha ya vyeti vyangu kwa makini nkatazama mlango ulipo vvuum nkatimua mbio
Written by: Cosmas Paul Mfoy, Justin John Mhagachi


