Lyrics

Anguka mara sita lamuka mara saba ushiangalie nyuma endelea kukombana Shiku yako itafika bata kutaya lawa Mbele yako bata kalaba Wangu kombanisha Namotoki nayo nde oko zwa ahhh eh Sala bunda bozwi nayo tika kolobela ahh eh Île uko nayo njo yako ushi angarie kya mutu ahh eh Sala bunda bozwi nayo tika kolobela Maisha nimufupi acha nifurahi Acha nimushukuru mungu na ile niko nayo Iyi yangu kiloko y'a damu ku meno lele Atcha niji kuriye nyama nivunje na mifupa yote Kule bana kunywa champagne uku bana kunywa zododo She bote tutalewa bushiku butakutcha Kule bana bulula ma gari uku bana bulula mikulu she bote tuta tembea Kule tuko naenda tuta fika Namotoki nayo nde oko zwa ahhh eh Sala bunda bozwi nayo tika kolobela Île uko nayo njo yako ushi angarie kya mutu ahh eh Sala bunda bozwi nayo tika kolobela Utalomba mpao batakupa nkanya Utalomba mapendo mais bata konesha meno Tule uko nato na weye njo twako Furahi na ile kiloko bengine abana nayo Utalomba mpao batakupa nkanya Utalomba mapendo mais bata konesha meno Tule uko nato na weye njo twako Furahi na ile kiloko bengine abana nayo Maisha nimufupi acha nifurahi Acha nimushukuru mungu na ile niko nayo Iyi yangu kiloko y'a damu ku meno lele Atcha niji kuriye nyama nivunje na mifupa yote Kule bana kunywa champagne uku bana kunywa zododo She bote tutalewa bushiku butakutcha Kule bana bulula ma gari uku bana bulula mikulu she bote tuta tembea Kule tuko naenda tuta fika Namotoki nayo nde oko zwa ahhh eh Sala bunda bozwi nayo tika kolobela Île uko nayo njo yako ushi angarie kya mutu ahh eh Sala bunda bozwi nayo tika kolobela
Writer(s): Palila Pson Lyrics powered by www.musixmatch.com
instagramSharePathic_arrow_out