Lyrics

Huratiti Huratiti Huratiti Huratiti Kila siku tunapaa juu-juu juu Tukiwa na favor tunapaajuu Juu Tunapaa juu-oweo Tunapaa juu-oweo Tunaenda-Huratiti, Ilikuwa ni juzi tu, nilikuwa naomba fare, Ilikuwa ni juzi tu, nilikuwa nalala njaa Ilikuwa ni juzi tu, nikafukuzwa kwa nyumba, Nikarudi mashambani, kuishi na wazazi wangu,, Kumbe hiyo setback, ikawa ni my comeback, Mungu wangu amenikumbukaa, Kweli Mungu amenikumbukaa, Wanaonipenda-a ninawaombeaa, Ya kwamba Mungu-uu Atawakumbukaa, Ya kwamba Mungu-uu Atawakumbukaa, Kuteseka ni kwa muda, Kuteseka Ni kwa muda, Kuteseka ni kwa muda, Kuteseka Ni kwa muda, Eeh eh eeh eh eh- Huratiti! Repeat Wacha nikukumbushe, Unapoenda chini, Mungu haendi chini Mungu Haendi chini Wacha nikukumbushe, unapokosa Pesa, Mungu hakosi pesa, Mungu hakosi Pesa, Wacha nikukumbushe, Unapokuwa mgonjwa, Mungu hana magonjwa, Mungu Hana magonjwa, Kwa hivyo wacha stess Mungu Atakubless Kwa hivyo wacha stess Mungu Atakubless Kuteseka ni kwa muda, Kuteseka Ni kwa muda, Kuteseka ni kwa muda, Kuteseka Ni kwa muda, Eeh eh eeh eh eh- Huratiti! Repeat Mi naona kwa favor ya Mungu Utapata kazi- Amen! Mi naona kwa favor ya Mungu Utapata nyumba-Amen! Mi naona kwa favor ya Mungu Utapata gari-Amen! Mi naona kwa favor ya Mungu Utapata bibi-Amen! Mi naona kwa favor ya Mungu Utapata bwana-Amen Mi naona kwa favor ya Mungu Utapata visa-Amen Pokea Pokea Pokea Pokea Pokea Pokea Pokea Pokea Repeat
Writer(s): James Ngaita Ngigi Lyrics powered by www.musixmatch.com
instagramSharePathic_arrow_out