Suggerimenti
Crediti
COMPOSITION & LYRICS
Major Nameye Nameye Khadija
Songwriter
Testi
Okwonkwo
Mavo on the beat
Nilikuwa na beste alikuwa anaitwa ego
Nilikuwa napenda sana form za ego
Nimepoteza vitu mob, juu ya ego
Ako ka ego, ah punguza ego, e-ego, ah
Nilikuwa na dem nilikuwa napenda sana
Aka kadem nilijua tutaoana
Nilishtuka vile tuliachana, juu ya ego, ah
Tukikosana, singekubali kuwa wa kwanza kupiga simu (ah ah)
Nikisikia kupiga, karoho kananiambia "Usipige"
Ah, saa niko single, ah juu ya ego
Nilingoja anipigie, alichoka akapigia chali mwingine
Imagine, ningeweka ego chini, nipige simu ningekuwa na bibi
Imagine, nilichagua ego, na hiyo life ikanihumble, haha
Nilikuwa na beste alikuwa anaitwa ego (ego)
Nilikuwa napenda sana form za ego (ego)
Nimepoteza vitu mob, juu ya еgo
Ako ka ego, ah punguza ego, e-еgo, ah
A rich man's joke is always funny, so funny
Tunacheka na unabore, we just want your money, ha-ha your money
Tunapapasa ego, ndio utoboke mfuko
Tukule pesa yako tukimaliza tukuwache pekee yako, ah
Ni juzi tu manze ulienda Dubai, ukikuja Kenya eh unajidai
"Is it safe? Huko Umo ni safe?"
Mmmh si ulizaliwa huko, punguza tumaringo
Acha ka ego, msupa kabla life ikuhumble, ah
Nilikuwa na beste alikuwa anaitwa ego
Nilikuwa napenda sana form za ego
Nimepoteza vitu mob, juu ya ego
Ako ka ego, ah punguza ego, e-ego, ah
Writer(s): Major Nameye Khadija
Lyrics powered by www.musixmatch.com