Lyrics

Ni birthday ni party, ni yako Na maji tunakata juu yako Ma cookie na ma keki Ni zako We kam tu na caro, pitanga uki Kata, kata, kata kairetu kata Kata usiogope, leo tuna parteee Watuokote Kata, kata, kata kairetu kata Kata usiogope, leo tuna parteee Watuokote Leo Leo leo ni leo leo Ile siku, Dudu hugeuka, kipepeo Ile siku paka huswing na kibembeo Ile siku hadi dogi Zi huwika weaw meaw Nina doo za kuthrow form ni how how Mr luku luku swag ya ki bow wow Sio masoo ni mangire mathao thao It's your bash make a wish blow my candle Nimecome na zawadi, kila aina Makolon na ma cladi za Desighner Kabla twende bash kwanza Twende diner Machapo machipo na take out za Ki China Alafu Leo Dunga zile zina bana Zenye mafisi wakiona, yes bana Alafu tip toe kidogo sio sana Mwambie aliye kuzaa tumesema asant sana Ni birthday ni party, ni yako Na maji tunakata juu yako Ma cookie na ma keki Ni zako We kam tu na caro, pitanga uki Kata, kata, kata kairetu kata Kata usiogope, leo tuna parteee Watuokote Kata, kata, kata kairetu kata Kata usiogope, leo tuna parteee Watuokote Kairetu ka ni keki kata Nakupata party umedunga bata Unakataa maji we ni drunken master Kiuno spaghetti Na mimi ni pastor Githeri ya mary wa nyeri (Ahhh) Sherehe na Njeri ndumberi (Ahhhh) Puliza candle wish icome true Peng ting me na handle age ni number tu Sijaitwa bash nimekam kimangoto Zikishika nakwama kiroboto Na mzinga mi si buy mi si msoto Ka ni ngori sijajaa juu ya toto Wanapiga mboto matata kwa mtaa Nashinda loto nabado anakataa Leta champagne na chupaa za belaire Dufo mpararo leo tunaogelea Ni birthday ni party, ni yako Na maji tunakata juu yako Ma cookie na ma keki Ni zako We kam tu na caro, pitanga uki Kata, kata, kata kairetu kata Kata usiogope, leo tuna parteee Watuokote Kata, kata, kata kairetu kata Kata usiogope, leo tuna parteee Watuokote
Writer(s): Fredrick Milanya, Marcos Ojiambo, Festus Mwenda, Richard Mathu, Ken Kimathi Lyrics powered by www.musixmatch.com
instagramSharePathic_arrow_out