Music Video

04 Rose Muhando - Akina Mama
Watch {trackName} music video by {artistName}

Credits

PERFORMING ARTISTS
Rose Muhando
Rose Muhando
Performer
COMPOSITION & LYRICS
Rose Muhando
Rose Muhando
Songwriter

Lyrics

Sikiliza abari za mwanamke Abigaili Yeye ali kuwa na hekima na busara kabisa iee Cha ku shangaza mumewe nabali mtu asiye faa Yeye ali kuwa Mupambafu e na mujinga kweli kweli eee; Sikiliza abari za mwanamke Abigaili Yeye ali kuwa na hekima na busara kabisa iee Cha ku shangaza mumewe nabali mtu asiye faa Yeye ali kuwa Mupambafu e na mujinga kweli kweli eee; Alimutukana Daudi mfalme wa israëli Daudi naye ali apa kumwangamiza kabisa iaaaa; Alimutukana Daudi mfalme wa israëli Daudi naye ali apa kumwangamiza kabisa iaaaa; Ndipo abigaili aka mwambiya Daudi Nakuomba bwana wangu U samehe mume wangu Kwani ame tenda haya kwajili ya upumbafu; Ndipo abigaili aka mwambiya Daudi Nakuomba bwana wangu U samehe mume wangu Kwani ame tenda haya kwajili ya upumbafu Yeye Bwana wangu uniwe razi bababba Basi akina mama iweni na ujasiri Kama Abigaili alivyo mokowa Mumewe Mikononi mwa Daudi ili asi angamizwe Basi akina mama iweni na ujasiri Kama Abigaili alivyo mokowa Mumewe Mikononi mwa Daudi ili asi angamizwe Vibaya ju ya uwovu wake Ponyeni waume zenu eee Jamani Zambi isi wa meze! Ombeyeni waume zenueee Jamani ili wamu juwe Mungu! Ponyeni waume zenu eee Jamani Zambi isi wa meze! Ombeyeni waume zenueee Jamani ili wamu juwe Mungu! Mungu ame umba chombo chipya; Chombo chipya duniani Kwamba mwanamke Ata mu linda; Nta mu linda mume wake! Lakini wa mamawa leo; Muna shangaza jamanieee Badala yaku wa ombeya Ninyi muna wa sengenya; Badala ya kuheshimu wa ume zenu; Ninyi muna wa zaraueee Mbona Munatiya aibueee Wengine mwawa tema mate! Mungu ame umba chombo chipya; Chombo chipya duniani Kwamba mwanamke Ata mu linda; Nta mu linda mume wake! Lakini wa mamawa leo; Muna shangaza jamanieee Badala yaku wa ombeya Ninyi muna wa sengenya; Badala ya kuheshimu wa ume zenu; Ninyi muna wa zaraueee Mbona Munatiya aibueee Wengine mwawa tema mate! Kina mama wa leo Kwa umbeya mume pona; (mume shiba); Muki kutana saluni muna anza ku sengenya: Mume wangu hani fai; Mume wangu ni mulevi; Mume wangu ni mujinga; Mume wangu ni kahaba Mume sahau mwenendo Ui Pasao injili yeye Kina mama muji rekebishe sasaaa Kina mama wa leo Kwa umbeya mume pona; (mume shiba); Muki kutana saluni muna anza ku sengenya: Mume wangu hani fai; Mume wangu ni mulevi; Mume wangu ni mujinga; Mume wangu ni kahaba Mume sahau mwenendo Ui Pasao injili yeye Kina mama muji rekebishe sasaaa Mungu ame umba chombo chipya; Chombo chipya duniani Kwamba mwanamke Ata mu linda; Nta mu linda mume wake! Lakini wa mamawa leo; Muna shangaza jamanieee Badala yaku wa ombeya Ninyi muna wa sengenya; Badala ya kuheshimu wa ume zenu; Ninyi muna wa zaraueee Mbona Munatiya aibueee Wengine mwawa tema mate! Mungu ame umba chombo chipya; Chombo chipya duniani Kwamba mwanamke Ata mu linda; Nta mu linda mume wake! Lakini wa mamawa leo; Muna shangaza jamanieee Badala yaku wa ombeya Ninyi muna wa sengenya; Badala ya kuheshimu wa ume zenu; Ninyi muna wa zaraueee Mbona Munatiya aibueee Wengine mwawa tema mate! Mulipo fungisha ndoa Uli muona ana faa; Alipo kuwa tajiri Uli muona wa maana Sasa ame filisika Una anza ku Laumu Dume hili dume gani Aibu lina ni tiya Chunusi tele usoni Kasoro Una mu towa Mume sahau mwenendo Ui pasao injili Siri za Nyumbani mwenu Mwazi weka azarani Iyeye Kina mama muji rekebishe sasa. Mungu ame umba chombo chipya; Chombo chipya duniani Kwamba mwanamke Ata mu linda; Nta mu linda mume wake! Lakini wa mamawa leo; Muna shangaza jamanieee Badala yaku wa ombeya Ninyi muna wa sengenya; Badala ya kuheshimu wa ume zenu; Ninyi muna wa zaraueee Mbona Munatiya aibueee Wengine mwawa tema mate! Mungu ame umba chombo chipya; Chombo chipya duniani Kwamba mwanamke Ata mu linda; Nta mu linda mume wake! Lakini wa mamawa leo; Muna shangaza jamanieee Badala yaku wa ombeya Ninyi muna wa sengenya; Badala ya kuheshimu wa ume zenu; Ninyi muna wa zaraueee Mbona Munatiya aibueee Wengine mwawa tema mate! Ndoa nai heshimiwe na watu woteeee Eeh ndoa nai eshimiwe na watu wote Ndoa nai heshimiwe na watu woteeee Ndoa nai heshimiwe na watu woteeee Ndoa nai heshimiwe na watu woteeee
Writer(s): Maureen Nkirote Lyrics powered by www.musixmatch.com
instagramSharePathic_arrow_out