Music Video
Featured In
Top Songs By Jux
Similar Songs
Credits
PERFORMING ARTISTS
Jux
Performer
Zuchu
Performer
COMPOSITION & LYRICS
Juma Mussa Mkambala
Songwriter
Zuhura Othman Soud
Songwriter
RAYMOND MAZIKU
Composer
PRODUCTION & ENGINEERING
Mocco Genius
Producer
Lyrics
La-la-la-la-laaa
Lala, La-la-la-la (Mocco) la laaa
Una hali gani unayefanya moyo wangu unadadarika (ahh)
Niko twabani umeniacha dakika mbili tu nishaboreka
Umeniweka rehani
Changu kiwiliwili moyo umeuteka
Umeniathiri honey nshaaribika mbaya kwa yako makopa
Kama mapenzi kitabu
Ungekuwa kurasa ya katikati
Ukichanwa wewe stori haiendelei
Aaaah nakupenda mpaka adhabu baby nahisi kuna hatihati
Ukiniacha wewe walahi mimi sitoboi
Honey honey (Honey) Wangu wa ubani bani
Mimi ndege wako sa manati ya nini
Nakupa ruhusa weeee!
Nidhibiti
Nidhibiti
Nidhibiti
Nakupa ruksa weee!
Nidhibiti (weee)
Nidhibiti
Nidhibiti (now)
Ewee baby (Eweee baby)
Mke wangu (mume wangu
Mimi na wee hadi milele
Ooooh mbivu ziwe mbichi ni vya kwetu sisi
Sijali nisharidhia yayaah
Wabaya wanafiki watafute viti wakae kwa kutulia hayaaa
Upendo kwetu faradhi umepita tsunaa
Rabiii atuhifadhi mpaka kufika chanaa
Ooh na mimi kwako ni radhi kufa kuzikanaaa
Waambie wavunje nazi si tumeshindakana
Honey honey (Honey)
Wangu wa ubani bani
Mimi ndege wako sa manati ya nini
Nakupa ruhusa weeee!
Nidhibiti
Nidhibiti
Nidhibiti
Nakupa ruksa weee!
Nidhibiti
Nidhibiti
Nidhibiti (now now)
Writer(s): Juma Mkambala
Lyrics powered by www.musixmatch.com